Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Kuna watu wanawahudumia wanawake utadhani hawana ndugu au wamerogwa inafikia mahali mpaka unashangaa mbaya zaidi unakuta njemba inalipa fees kwa mwanamke wakati makids wa sister ake yupo mtaani mwisho wasiku wakitibuana ndo imetoka hivo...
WAKUU TUWE WASTAHARABU ASEE USITOE PESA OVYO SIO JAMBO JEMA...
kuna watu wanawahudumia wanawake utadhani hawana ndugu au wamerogwa inafikia mahali mpaka unashangaa mbaya zaidi unakuta njemba inalipa fees kwa mwanamke wakati makids wa sister ake yupo mtaani mwisho wasiku wakitibuana ndo imetoka hivo...
Wakuu tuwe wastaharabu asee usitoe pesa ovyo sio jambo jema...
Kuna watu wanawahudumia wanawake utadhani hawana ndugu au wamerogwa inafikia mahali mpaka unashangaa mbaya zaidi unakuta njemba inalipa fees kwa mwanamke wakati makids wa sister ake yupo mtaani mwisho wasiku wakitibuana ndo imetoka hivo...
WAKUU TUWE WASTAHARABU ASEE USITOE PESA OVYO SIO JAMBO JEMA...
mkuu hao ndugu zangu nao siwanatakiwa wapambane wapate chao..nini tatizo kumipia demu skul fees wakati watu wanaonga meli
cdhani kama kweli ww unakili timamu ndugu zako wanahangaika ww unaenda kumnunulia gar demu tena wakati mwngne co mke wako. Huo 2naita n umburula.
kwani huyo mwanamke unaemuhudumia yeye ameshindwa kupambana kupata chake mpaka wewe ndo ugeuke mzazi wake?
Hivi wanaume wa hivyo wanapatikana mitaa ya wapi jaman mbona mimi sijawahi kuwaona?
Cdhani kama kweli ww unakili timamu ndugu zako wanahangaika ww unaenda kumnunulia gar Demu tena wakati mwngne co mke wako. huo 2naita n umburula.
Kuna watu wanawahudumia wanawake utadhani hawana ndugu au wamerogwa inafikia mahali mpaka unashangaa mbaya zaidi unakuta njemba inalipa fees kwa mwanamke wakati makids wa sister ake yupo mtaani mwisho wasiku wakitibuana ndo imetoka hivo...
WAKUU TUWE WASTAHARABU ASEE USITOE PESA OVYO SIO JAMBO JEMA...
Ucjar ipo ck utawapata kwan wapo wengi sn