Mapenzi ya kisasa hayooo!

Mkuu MM


Haya makubwa sana nadhani muoaji ni
huyo mwenye suti nyeusi.
 
Natamani ningeelewa unachomaanisha, lakini siwezi kutumia akili yako hivyo let me leave.
 
Ni nini kiashiria cha Uislaam hapo we Mgalatia !?

mgalatia ba-ba-ako!

kofia ya bwana harusi, nguo ya bi harusi ina nakshi nakshi za kiislam,

sasa sijui hao mbuzi ni waislam, au bwana na bi harusi wamevaa vinyago vya mbuzi kama vile taratibu za kiislam!
 
Hehe hata wanaigeria wanakua wanavaa kofia wakati hata si waislam na hiyo nguo biarus ni nakshi ipi inaashiria uislam hem jitoe tongo ww uangalie vzri..thn uongee tena


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
mgalatia ba-ba-ako!

kofia ya bwana harusi, nguo ya bi harusi ina nakshi nakshi za kiislam,

sasa sijui hao mbuzi ni waislam, au bwana na bi harusi wamevaa vinyago vya mbuzi kama vile taratibu za kiislam!

We Mgalatia nakshi nakshi za Kiislaam wewe unazijuaje ? ..........hiyo kofia ni ile ya Papa wa kule Vaticani !
 
mgalatia ba-ba-ako!

kofia ya bwana harusi, nguo ya bi harusi ina nakshi nakshi za kiislam,

sasa sijui hao mbuzi ni waislam, au bwana na bi harusi wamevaa vinyago vya mbuzi kama vile taratibu za kiislam!
labda ungesema nguo za kiarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…