Asipoteze wakati kashakwambia "mala"" tatu....tatizo hapo n maumivu nenda kapime UTI ulete mrejesho...afu anaeleweka kama una nia ya kumsaidia
mtoto usipoteze bikira yako bure, iweke mpaka ndoa ,siku hizi ni zawadi adimu.
tafuta maisha,siku hizi mwanamke mwenye cash anaheshimika sana katika ndoa plus bikira,, haki amungu walahi,upewe nini
HhhhaaaaHahaha
mbona ume wandorkhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Aisee,,sijakuelewa kabisa mkuu
We nawe kama sio kiazi unaingiaje ndani kwa mwaname?hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Kwa nn mkuuMtu akitumia neno 'kusex' huwa nacheka sana.
Naona ni neno la mapenzi utotoni (balehe).Kwa nn mkuu
Hahaaaa lipi litumike hapoNaona ni neno la mapenzi utotoni (balehe).
Cijaambulia kitu kw kwel!hivi unafanyaje kama ulikua na mpenzi wako alafu baada ya kuwa kwenye mahusiano mda mfupi tu na yee akadai penzi na wewe ujawahi kusex unaogopa sas akakuita mkutane gest ulipoenda ukagoma kusex ulipo ona unaumia na yeye akakulaumu ukafanya hivyo mala tatu kila mkikutana sasa huyo mwanaume akasema umpend wakati unampenda ila kusex tu ndo anahitaji kuvumilia afu yeye hataki na anakubwag a anh jamani wakati unampenda yani daa wadau ebu nisaidie iyo thread
Litumike lolote. Mtoa mada ni mtoto pia.Hahaaaa lipi litumike hapo
Hahahahahawhat so do you think or just live it