Unamaanisha nn mkuu?Sura Sio Roho.
Muonekano wa nje, hauna nafasi hata kidogo kwenye Upendo wa kweli..Unamaanisha nn mkuu?
Mnoo na utashangaa huyo baba ana mchepukoUuuuwwiiiii! Wanawake tunaujasiri wa ajabu!!
Uuuwiiii...inawezekana tu maana ujasiri tumeumbiwa sisi wanawakeMnoo na utashangaa huyo baba ana mchepuko
Numbisa,kiswahili fasaha ni 'nilidhani' sio nilizani ambacho ni Kizaramo.Hivi kumbe hii picha ya harusi ni ya kweli nilizan ya kutengeneza. Hongera zao.
Maneno yako ni ya kifalsafa..kwamba muonekano uliomvutia mtu ukibadilika aliyevutika naye anapoteza mvutiko..Muonekano wa nje, hauna nafasi hata kidogo kwenye Upendo wa kweli..
Ukipendwa kwa sababu ya muonekano,
Utaachika kwa sababu ya muonekano.
Numbisa,kiswahili fasaha ni 'nilidhani' sio nilizani ambacho ni Kizaramo.
Poa, lakini mimi sio mwalimu kwa taaluma.Asante mwalimu