Mapenzi sio Charity: 50/50 ama uko Solo

OwadeKuya

Member
Joined
Jan 28, 2026
Posts
95
Reaction score
78
Let’s be real hii tabia ya mtu mmoja kubeba financial burden yote in the name of “love” is outdated!

Kama ni partnership, why not act like one? Bills, rent, groceries 50/50 sio option, ni responsibility.

Watu wengi wanapenda kusema “mwanaume ndio provider” or “mwanamke anatakiwa kusaidiwa,” but honestly… hiyo ni mindset ya kitambo.

If both of you are working, earning, and living the same lifestyle, mbona mmoja achoke na mwingine afurahie? That’s not love that’s imbalance.

Lakini pia ukweli usemwe… not everyone is ready for 50/50. Wengine wanataka soft life bila contribution 😅

So the real question is: Are you in a relationship… or a sponsorship program?

Let’s talk
 
Mapenzi hayatawahi kuwa 50/50. Yanaweza kuwa 20/80,70/30 or else but not 50/50.
Mnaoana watu wawili mliopishana vitu vingi,inawahitaji hekima na akili kuweza kumudu ndoa. Haijalisha nani anakikubwa kumzidi mwenzake,whats matter mnaendeshaje mambo yenu na mnamalizaje mambo!
 
Logically upo sahihi kwa ulichokisema hapa... Lakini kiuhalisia mahusiano or so called mapenzi huendeshwa na principles za feelings & Emotions .... Logic na mapenzi havipelekani abadani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…