kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Kuna demu mmoja ambaye alikuwa anadharaulika mtaani kwetu huyo demu alikuwa bad face kinoma Sasa Kipindi wanaume tulikuwa tunamuona wa kawaida saana.
Sasa kuna rafiki yetu mmoja hivi alijitokeza kuwa anataka kumtongoza mwanamke huyo tulimuona amepungukiwa akili kinoma na tukafikiri anatania tu kumbe jamaa alikuwa Serious.
Jamaa akaanza kama utani tu wakaendana na mwanamke huyo jamaa akawa anatafuna kama kawaida kama aliona nini! Hakaona kutafuna pekee hakutoshi akachukua jiko akaweka ndani watu tukashangaa. Baada ya miaka wengine wanaoaa. Cha ajabu kuna watu walioa nyuma ya msela lakini tayari wameshaachana na wake zao wengine na wachumba wao.
Lakini jamaa bado yupo saana na mke wake. Na sidhani kama wale wataachana. Mwanamke huyo ambaye sisi tulimuona kama bad face kwasasa Mimi Namuona good face kabisa.
Kweli mapenzi si sura bali ni tabia
Uzuri wako mpelekee Rick Ross huko.
Sasa kuna rafiki yetu mmoja hivi alijitokeza kuwa anataka kumtongoza mwanamke huyo tulimuona amepungukiwa akili kinoma na tukafikiri anatania tu kumbe jamaa alikuwa Serious.
Jamaa akaanza kama utani tu wakaendana na mwanamke huyo jamaa akawa anatafuna kama kawaida kama aliona nini! Hakaona kutafuna pekee hakutoshi akachukua jiko akaweka ndani watu tukashangaa. Baada ya miaka wengine wanaoaa. Cha ajabu kuna watu walioa nyuma ya msela lakini tayari wameshaachana na wake zao wengine na wachumba wao.
Lakini jamaa bado yupo saana na mke wake. Na sidhani kama wale wataachana. Mwanamke huyo ambaye sisi tulimuona kama bad face kwasasa Mimi Namuona good face kabisa.
Kweli mapenzi si sura bali ni tabia
Uzuri wako mpelekee Rick Ross huko.