Mkolokotiatanas
Member
- Mar 2, 2013
- 63
- 7
jamanii eeeeh!
hapo anaona jamaa kama anachelewa kuja kumpiga "popo kanyea mbingu"
Bokoboko!jamanii eeeeh!
mbona kama jamaa alishakuja
jamanii eeeeh!
Hivi unajua kwanza una kesi ya kunijibu,hebu njoo PM kwanza...
Afu na wewe hizo PM hizo.... wanasemaje Amsterdam au umesharudi!???
Kaka bado ninatongoza ila Amsterdam hatujambo..njoo PM na wewe basi...
Afu na wewe hizo PM hizo.... wanasemaje Amsterdam au umesharudi!???
We haya we, unarudi lini bongo!?? uniletee Whisky...
Hiyo usikonde ila isikukanumbe tu....
Haiwezi aisee, nina uzoefu nayo wa takribani miaka 30 sasa...
haiwezi aisee, nina uzoefu nayo wa takribani miaka 30 sasa...