Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
Kuna mwanamke ambaye ni mzuri na amejaliwa neema za Allah ,
kitu ambacho kilinipelekea kuweza
kumtongoza na akakubari baada ya kusota kama miezi mitatu bila majibu yakuaminika,
huyu mwanamke ninamalengo yakumuoa, sikutaka hata kumuomba mgegendo maana najua siku itafika.
atakuwa mke wangu nitamgegenda vyakutosha.
Nina tabia nikiwa natoka safari hupelekea zawadi ndogondogo kama hereni, mabangili na vitu vingine kama hivyo, tena kwa kumtuma mndogo wangu hapa nyumbani umpekee kwao.
hajawi kuniomba hela wala mimi sijawahi kumpa hela maana bado yuko kwao na anafanya shughuli yakuunza duka la baba yake.
leo meseji hii imenishutusha sana, ameituma sasa 12jion, inasema "mapenzi ni pesa maua mpelekee nyuki"
wakuu kwa sms hii kweli hapa kuna wife material, kwa kweli nimekasilika sana. na hadi sasa sijamjibu.
kama pesa huwanga natoa kwa wanawake ambao nawatamani tu, nawagegenda nawaacha, lakini siwezi nikatoa pesa kwa mtu ambaye natagemea kumuoa.
wadau ushauri wenu ni wapi nilipokosea?!.
kitu ambacho kilinipelekea kuweza
kumtongoza na akakubari baada ya kusota kama miezi mitatu bila majibu yakuaminika,
huyu mwanamke ninamalengo yakumuoa, sikutaka hata kumuomba mgegendo maana najua siku itafika.
atakuwa mke wangu nitamgegenda vyakutosha.
Nina tabia nikiwa natoka safari hupelekea zawadi ndogondogo kama hereni, mabangili na vitu vingine kama hivyo, tena kwa kumtuma mndogo wangu hapa nyumbani umpekee kwao.
hajawi kuniomba hela wala mimi sijawahi kumpa hela maana bado yuko kwao na anafanya shughuli yakuunza duka la baba yake.
leo meseji hii imenishutusha sana, ameituma sasa 12jion, inasema "mapenzi ni pesa maua mpelekee nyuki"
wakuu kwa sms hii kweli hapa kuna wife material, kwa kweli nimekasilika sana. na hadi sasa sijamjibu.
kama pesa huwanga natoa kwa wanawake ambao nawatamani tu, nawagegenda nawaacha, lakini siwezi nikatoa pesa kwa mtu ambaye natagemea kumuoa.
wadau ushauri wenu ni wapi nilipokosea?!.