Mapenzi ni uzushi tutafute hela itupende

Mapenzi ni uzushi tutafute hela itupende

Victor Mlaki nyuzi zako inabaidi uziweke hata jukwaa la hoja mchanganyiko , huko great thinker wengi wamezuiliwa kuchangia
 
Ni upumbavu mtupu usiona manufaa.ni hasara tup na kupotezeana mda.bora tutafte ela itupende maana mapenz n uzushi usiokuwa na manufaa kiroho.bora nimpende mungu tuh maan yy ndio anayenijal.
ikiwa kuna changamoto ya nguvu za kijinsia, via vya uzazi au ugumu wa maisha, kamwe huwezi kupenda, kuwaza kuhusu mapenzi, wala kuinjoy mapenzi,

maskini wa vipato huinjoy sana mapenzi kwasababu hawana stress mfano ni kama vile Nchaabah na ndugu yake Dudukghwee huko uhadzabeni karatu.

wenye afya ya mwili na roho huchapa kazi kwa bidii na maarifa, na hushiriki mapenzi sawa sawa na neema na Baraka za Mungu katika ndoa 🐒
 
Pesa ipende wewe,maana nayo inaweza kukusaliti vilevile.
Pesa haiwezi kukusaliti,ni pale ambapo utatoka nje ya mstari, hapo haiwezi kukufuata Kwa kuwa ipo Center kama mstari wa ikweta😂
 
Ni upumbavu mtupu usiona manufaa.ni hasara tup na kupotezeana mda.

Bora tutafte ela itupende maana mapenz n uzushi usiokuwa na manufaa kiroho.bora nimpende Mungu tuh maan yy ndio anayenijal.
Pesa haina faida yoyote Mkuu, hutajua hilo ukiwa nazo na hasa uwe mpweke.

Mkuu hii nilipewa na mtu mwenye Pesa mimi sina.
 
Back
Top Bottom