Mapenzi ni umasikini mtupu?

Tofali 170 hizo chumba kimoja kasoro tofali 130 zimeungua kwa masaa mawili ya show time
 
shetani m baya wewπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Usisahau; kuna Satan na Shetani... Mmoja ni mzungu mwingine mswahili... πŸ˜…πŸ˜….. Huyo wa 'Kiswahili' mnaemsingiziaga ndo mtakaeenda naye motoniπŸ˜›
 
Kuna yule mwehu mwingine anadai tuzae na wanawake wenye "sura nzuri" ili watoto wako baadae wasipate shida kwenye ajira na kupata mwenzi. Huu mwezi kuna thread za ajabu ajabu sana.
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…