Mapenzi ni ujinga tu

Mapenzi ni ujinga tu

Varbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,124
Reaction score
895
Unakuta unamtu unampenda na kujitahidi kufanya kila anachotaka ili ajisikie vzr lkn yeye hana muda na wewe ukimwambia hiki sikipendi ufanye hakusikilizi ndio kwanza anaendelea na mambo yake Muda ufike sasa tujiangalie wenyewe mahusiano ya siku hiuzi ni upumbavu tu I hate ote wenye tabia za hivo.
 
Hajakupenda ndo maana anakufanyia hivyo. Anayempendaa hata hamfanyii hivyo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwa vile una lisimu likuubwa na umenyoa kiduku,, unafikiri ndo atakutengea K peupe ule.

Toa jasho.
 
Mapenzi ni mchezo wa kitoto kwa watu wazima..
 
Mapenzi ni ujinga, Wapendaji ni wajinga, Wewe umependa, kwahyo wewe ni mjinga
 
mapenzi yanaharibu sifa ya kiumbe hai
1.nutrition
2.growth
3.repro
4.na nyingine nying haswa COORDINATION
 
Unakuta unamtu unampenda na kujitahidi kufanya kila anachotaka ili ajisikie vzr lkn yeye hana muda na wewe ukimwambia hiki sikipendi ufanye hakusikilizi ndio kwanza anaendelea na mambo yake Muda ufike sasa tujiangalie wenyewe mahusiano ya siku hiuzi ni upumbavu tu I hate ote wenye tabia za hivo.

Shukuru Mungu hupotezewi muda. Cool down. Kila jambo na wkt wake.. Kila ndege lazima apate corresponding fitting partner! Usimlazimishe Mungu km we ni muoaji! You need not sth better but the best...and the best is hard to attain/reach at.
 
Mkuu ebu nieleweahe kdogo... iv xkuiz kuna mapenzi au kuna wapenda ngono. Na wapenda not tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom