Like others said,
Anahitaji long terms agreement, pengine alishapitia akaishia kuchezewa au wakachezeana! Or may be hajawahi kabisa anaogopa asije kukupa ukamkimbia!
So angalia vigezo vya msingi unavyohitaji kwa mwanamke (to be your wife ) kama 80% anavyo make her your wife, utakuwa unakula anytime you need!
Sex pekee sio kipimo cha kwamba anakupenda au laaah