Mapenzi ni mtihani

Mapenzi ni mtihani

Unajiskia sababu ulipendwa, ngoja uje ukutane na manyang'au ndo utatia akili.

Haaah jamani kuna dada zako, shangazi, mke, mama wa dogo/kubwa, nk; japo mtandaoni ila tumia maneno yenye staha hata kwa mbali.
 
Haaah jamani kuna dada zako, shangazi, mke, mama wa dogo/kubwa, nk; japo mtandaoni ila tumia maneno yenye staha hata kwa mbali.

.....mkuu namaanisha wachuuzi wa mapenzi, haija-base kwenye jinsia hata wanaume wapo manyang'au mkuu!
 
Kuna watu WENGINE wao kila MTU wana mzarau Kwan lazima MTU ataje nchi aliyopo hapa tuna ongea Kama vijana WENGINE wana leta majungu yani kweli balaaa
 
mmh sasa unamuwazia nin? ulikuwa unampenda kwan!? We si uliona cha nn!
 
Ww ndio kati ya wale wanaume ambao mkioneshwa mnapendwa hamjali mnakuja kushtuka muda umeisha pole ndo ujifunze siku ukipata mwingine ushikamane nae
 
Ndo ukome...nyie maheart breaker .... now karma is doing you right.... u shuttered her feelings heartlessly.....utamuota sana na bado
 
Ulaya ulikwenda kwa boti ukitokea Libya. mbona hunipi picha kam wewe umepitia shule ? au uko ulaya ndogo yaani Lushoto

Anamaanisha Ulaya= Ulayasi eneo la Makete,..Balozi=Balozi nyumba Kumi.Upo hapo?
 
Jamanii eeee mbona mna nishambulia mm siku fanya makusudi ni kitu ambacho siku weza kuki fanyia uwamuzi wa papo Kwa papo
 
Ukiwa na kitu Huwezi kujua thamani yake mpaka ukipoteze maji yamekwisha mwagika hayazoleki endelea na maisha yako tuu hata ukiendelea kumtakafari na kumuwaza muda mwingi haitabadilisha kitu
 
Baada ya wazazi kumaliza kuzaa MAFISADI, sasa wanazaa WAONGO!
 
Unapiga danadana karibu na goli Wewe wajanja wakipata Mpira wanapiga shuti Kali goooooooliiii.......
 
Unamuombea apate mpenzi mwingine....kwani aliyekuambia anaolewa naye sasa ni nani?
 
Back
Top Bottom