Unajua kila shetani ana mbuyu wake. Si kila utakayempenda wewe basi kila mtu atampenda na si kila utakayemuona we hafai basi watu wote watampuuza, SIVYO!!! Mapenzi ni kama majani huota yanapotaka. Na mapenzi hayana sababu, ila kuweka hoja yako vizuri, niseme kwamba mazoea ni miongoni mwa stage za kuelekea kwenye mapenzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.