Mapenzi ni janga la ulimwengu.

Mapenzi ni janga la ulimwengu.

jf user

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
777
Reaction score
625
Jamani kila mtu anayafahamu mapenzi!
Sasa kwangu mimi naona faida zake ni ndogo kuliko kile tunachotegemea!
Wapenzi wengi wameishia kuumizana moyo, kutalikiana, kuambukizana magonjwa, kujiua, kuua au kuuana.
Mapenzi yanashusha performance ya mtu hata kumfanya useless kabisa mahali pake pa kazi, na fsini mwake.
Mapeni ni sehemu muhimu kwa maisha ya mwanadamu (Mwanaume na mwanamke) kwa hiyo ni ishu ngumu kuishi bila mapenzi pengine ni wachache ana wanaoweza kuishi bila mapenzi wale ambeo wamempa MUNGU maisha yao au vilema na wenye matatizo ya hisia. Kwa mtu alie kamili mapenzi ni kitu muhimu kwani mwili unahitaji.

Nimeona ndugu wengi sana wakiacha na suala kuoa kwa sababu washaona kabisa ndoa ni matatizo au kujitaftia kifo kabisa pale mtu unaposhindwa kuhimili matatizo ya mapenzi.
Wengi wameishi kuzaa huko na kununua monde huku maisha ya kisonga vizuri tuu. Nimewafatili na kuona wako waangalifu sana as wanatumia kondom na kupima kwa hiyo swala la magonjwa hakuna shaka. Pia wengine wanafanya masturbation kukidhi haja zao na kuangalia picha na video za ngono kutimiza haja zao za kimwili.

Sasa ndugu zangu tufanyeje kutokomeza haya majanga ya mapenzi?


ONYO
Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi! MUNGU hapendi uzinzi au uasherati pia watoto wanaozaliwa nje ya ndoa huteseka sana kwa dhambi na hawapati Baraka zote za MUNGU soma ishu ya Ishamel na mtoto wa mfalme Dauli aliezawa na Uria.
Soma hapa Zaidi Onyo kwa sisi ambao tumeamua kuzaa nje na kuwa mabachelor maisha yetu yote. - JamiiForums
 
Kibaya zaidi mkioana.mwanamke ananenepa afu wewe mwanaume unakonda na kupauka hata nguo mpya unaweza usinunue.me sioni haja ya mapenzi Kama una uwezo wa kupiga nyeto,kujifulia nguo,kufanya usafi wako...kwanini uoe uanze matatizo.eti mnatushauri tuvumilie me sitaki huo ujinga ndo maana hata yesu hakutaka kujishughulisha na masuala yahusuyo ndoa alijua jinsi yalivyo na utata...
 
Mkuu hizi mambo ziko tangu kitambo,

Ni ngumu kubadili ama kuenenda vile uonavyo wewe au mimi,

Katika mapenzi tunatofautiana sana vision, kuna watu wanakuwa kwenye mahusiano halafu hawajitambui mwisho wa siku wanafanya ya ajabu na kusababisha madhara makubwa upande wa pili ama pande zote,

Cha kufanya pekee ni kumshirikisha Mungu katika maisha yetu naye atatuongoza vyema.

Tukiwa na hofu ya Mungu ushenzi utapungua kama si kuisha kabisa.
 
Kibaya zaidi mkioana.mwanamke ananenepa afu wewe mwanaume unakonda na kupauka hata nguo mpya unaweza usinunue.me sioni haja ya mapenzi Kama una uwezo wa kupiga nyeto,kujifulia nguo,kufanya usafi wako...kwanini uoe uanze matatizo.eti mnatushauri tuvumilie me sitaki huo ujinga ndo maana hata yesu hakutaka kujishughulisha na masuala yahusuyo ndoa alijua jinsi yalivyo na utata...
Hahaha comrade
 
Kibaya zaidi mkioana.mwanamke ananenepa afu wewe mwanaume unakonda na kupauka hata nguo mpya unaweza usinunue.me sioni haja ya mapenzi Kama una uwezo wa kupiga nyeto,kujifulia nguo,kufanya usafi wako...kwanini uoe uanze matatizo.eti mnatushauri tuvumilie me sitaki huo ujinga ndo maana hata yesu hakutaka kujishughulisha na masuala yahusuyo ndoa alijua jinsi yalivyo na utata...
Pamoja ndugu yangu una mawazo kama yangu.
 
Pamoja ndugu yangu una mawazo kama yangu.
Yaani katika ndoa nimegundua misuguano lazima hata Kama muwe na interest sawa.af pia kwenye ndoa mkianza mtafurahi ila baadae muda ukipita mnaanza kuonana Kama mtu na dada ake..ikumbukwe mwanamke anazeeka mapema hivyo ataanza manung'uniko na malalamiko mengi.kiufupi mambo hayo siyo nayoyategemea ndo maana nimalize kwa kusema ndoa sio lazima kivile.ndo maana naanza kumwelewa mtume Paulo kwanini alitoa ushauri watu wabakie single tu kuliko kujitia kitanzini
 
Yaani katika ndoa nimegundua misuguano lazima hata Kama muwe na interest sawa.af pia kwenye ndoa mkianza mtafurahi ila baadae muda ukipita mnaanza kuonana Kama mtu na dada ake..ikumbukwe mwanamke anazeeka mapema hivyo ataanza manung'uniko na malalamiko mengi.kiufupi mambo hayo siyo nayoyategemea ndo maana nimalize kwa kusema ndoa sio lazima kivile.ndo maana naanza kumwelewa mtume Paulo kwanini alitoa ushauri watu wabakie single tu kuliko kujitia kitanzini
Hata mafarisayo waliyaona haya embu soma Mathayo 19:1-9 halafu malizia pale mafarisayo wanaposema yao ya moyoni Mathayo 19:10 then soma pale Yesu anapomalizia maono yake Mathayo 19:11-12
 
Back
Top Bottom