Mapenzi ndo Wimbo wa Taifa??

Mapenzi ndo Wimbo wa Taifa??

Mdokezi2

Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
70
Reaction score
5
Kila mahali sasa kila mtu anazungumzia mapenzi......wakati enzi zile (ambazo kila mtu anaziita enzi zetu) mapenzi yalikuwa siri ya wawili tuuu.....jmn tupunguze au tubadilishe style!!!
 
Kwani wimbo wa Taifa ndo unaimbwa kila mahali hivyoo na bila sababu kweli au mimi ndo sijui maana ya wimbo wa Taifa?
 
Kila mahali sasa kila mtu anazungumzia mapenzi......wakati enzi zile (ambazo kila mtu anaziita enzi zetu) mapenzi yalikuwa siri ya wawili tuuu.....jmn tupunguze au tubadilishe style!!!

mapenzi yana run dunia
 
Utandawazi umeleta ukweli na uwazi na kuweka mambo hadharani. Wamama watu wazima wanatafuta vijana wadogo wakula nao maisha kuwalipizia wababa wazee wanaotafuta wasichana vigori na kula nao maisha.
 
Kila mahali sasa kila mtu anazungumzia mapenzi......wakati enzi zile (ambazo kila mtu anaziita enzi zetu) mapenzi yalikuwa siri ya wawili tuuu.....jmn tupunguze au tubadilishe style!!!

Mapenzi yameiteka dunia, wewe haujui???????
 
Back
Top Bottom