Mpo?
Night out yao ilikuwa baa, Kinywaji chake bia, huku mke wake akijiburudisha na soda. Mara akaanza kuchanganyia mke na pombe kidogo. Yaani pombe kidogo, soda kidogo. Mwishowe ikawa pombe kavu.
Alikuwa anampigia simu wakutane baa baada ya kazi. Mmoja wao akitangulia anamsubiri mwenzie. Sasa mke amezowea kwenda baa peke yake. Alikuwa na kazi zuri, Pesa chekwa chekwa, Sasa amefutwa kazi, Mke wake amezoea bia.
Anaenda baa kununuliwa na marafiki wa mume wake. Wakati mwingine anakesha baa. Mume ana fununu mke anagegedwa na marafiki zake.
Afanyeje?