Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
- Thread starter
- #61
Hii kitu ipo jamani cz kwenye nyumba tuliyopanga kuna wapangaji wenzetu mamlaka ya baba anayo mama,mwanaume anafanya kila kitu hadi zamu za kudeki chooni tunaye..mkewe ni mzima haumwi hafanyi kazi ye ni full pombe akilala nje tatu sawa tu,akienda club kujirusha mwanaume ye ndani tu hatoki na mkewe akirudi anagonga mlango anafunguliwa kama kawaida na kuulizwa mbona chakula cha leo kibaya baba nanii.Smtms huwa anatoa kauli mbaya nimekwambia nguo hujafua unanitania au niende safari zangu za Tanga kukurekebisha,so ni vitu ambavyo vipo kwenye jamii na tunaviona.
WANAUME MSIACHE KUOMBA MNAPOTAFUTA MKE AU MCHUMBA ANAE KUPENDA HAWEZI KUKUFANYA HIVYO.
eeeeeeehe kumekucha!!!!!ndoa ndoana,kapatikana huyo!