Mapenzi na kazi

Mapenzi na kazi

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Ukiwa na mipango yako ya maisha ambayo unataka kuzitimiza, nakushauri kijana achana na mapenzi weka umakini kwa kile unachokipanga tu, utanishukuru.

Ukichanganya vyote viwili kwa pamoja ni lazima mapenzi yatashinda, halafu mwisho msongo wa mawazo utakupiga mpaka unapanga mpango mwingine wa kujiua tu.

Mapenzi yanaomba utayari siyo, kitu cha kwenda kichwa kichwa tu, tutakusau sasa hivi!

JamiiForums1947588193.jpg
 
Mhhhh.

Jitahidi kuwa na uandishi mzuri.

Mapenzi na kazi??????
Mfano Mimi ni Daktari. Nina mapenzi na kazi yangu ya Udaktari. Kwahiyo unanishauri
nisipende kazi yangu.???
Nisijitoe kwa Kazi yangu????
Nisije tayari hata kufa kwa Kazi yangu.

Mimi ni kijana Mwenye Mapenzi Makubwa Mno na kazi yangu.
Nina mapenzi ya dhati kabisa na kazi yangu.

Kiswahili lugha yangu
 
Back
Top Bottom