Mapenzi mchana kuanzia Leo mimi wazabangah nasema mwisho

wazabangah1

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
315
114
Dunia ya sasa imekua Kama Kijiji, Usemi huu ni mpana mno na wenye mantiki kubwa hasa kwa mtu mwenye lengo lakujifunza au hata kujiendeleza kifikra kwa njia moja au nyingine.

Leo hii kuna social network nyingi na ndani ya hivyo mnayo elimu mbalimbali zitolewamo Kama mtu akiamua kuzifuatilia basi ananufaika kwa kiasi fulani, sasa inakuaje baadhi ya Ke hata kujiswafii inakuwa suala gumu.

Inamaana kwamba hizo social network zinatumika katika kusemana tuu na kuchunguza fulani kala nini fulani anatoka nani Ile hali papuchi zikiendelea kuoza.

Yaani binti ni mrembo sijapata kuona, poda imekaa sawa na wanja umependeza kwa sura sasa tatizo linatoka wapi macho yanashindwa kufika kwa bibi na kupaangalia pako katika hali gani.

Jamanii kwa mtindo huu mabinti wataendelea kulia nakusaga meno, usafii nikitu muhimu sana hasa katika ulimwengu huu wa wapendanao.
 
Itakuwa umekutana na uji mweupe ambao husababishwa na mwanamke kutojisafisha vizuri,wanawake wa namna hii siku hizi wapo wengi na wamejisahau kabisa na akili zao wamewekeza kwenye sura na ngozi huku usafi wa ndani kabisa wameuweka kando.
 
Itakuwa umekutana na uji mweupe ambao husababishwa na mwanamke kutojisafisha vizuri,wanawake wa namna hii siku hizi wapo wengi na wamejisahau kabisa na akili zao wamewekeza kwenye sura na ngozi huku usafi wa ndani kabisa wameuweka kando.

Ni hatarii sana yaani nizaidii ya utando mweupe! Usafi kwa upande huu wa KE now days naona Kama umepewa likizoo chiiiiiiiiiihhhhh!
 
ungeenda nae bafuni lingekua jambo la busara

Nimefanya hivyo takribani awamu mbili ila nahisi bado niswala lile lakutokujiswafii vizur au hii elimu inamapanaa zaidi mi sifahamu? Embu mwenye uelewaa zaidii anijuzeee walauu kidogo
 
Hamna banana umeamua mwenyewee kutokuelewaa embu jaribu kurejea vizur utagundua nini hasa nilichokua namaanisha zaidii katika upande wa KE

Ngoja nirudie tena kwenda "btn the lines". kuona nitacho ambulia. wenda kuna jambo nyeti la nyetini hapa naweza ng'amua.
 
Utakua ulikutana na mwenye kikwapa cha papuch coz hicho kikwapa huwa kinatoa halufu sana niugonjwa hata aoge vipi halufu haiishi nikama kikwapa chamwili kuisha kwa halufu mpaka atumie dawa.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kiukweli unachosema kina mantiki kubwa sana.

Dada zetu wengi siku hizi wanajisahau sana linapokuja suala la usafi,tena usafi wa sehemu nyeti.Muda mwingi wanautumia kuhudumia uso tu(nadhani kwa kuwa sehemu nyingine hazionekani kwa urahisi ndo maana wanajisahau).

Asikwambie mtu mkuu,ukikutana na mwanamke ambaye anatoa harufu mbaya sehemu zake nyeti,huwezi kuendelea kufanya nae mapenzi siku hiyo,na hata ukijilazimisha siku hiyo hutorudia tena(labda na wewe uwe "type" yake).

Mwanamke msafi ana ladha yake bana asikwambie mtu!
 
Utakua ulikutana na mwenye kikwapa cha papuch coz hicho kikwapa huwa kinatoa halufu sana niugonjwa hata aoge vipi halufu haiishi nikama kikwapa chamwili kuisha kwa halufu mpaka atumie dawa.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ooh! GOSH unawezaa kunijuza ni dawa gani hasa huwa na nguvu ya kutibu hicho kikwapa cha papuchi
 
Ni hatarii sana yaani nizaidii ya utando mweupe! Usafi kwa upande huu wa KE now days naona Kama umepewa likizoo chiiiiiiiiiihhhhh!
Kweli kabisa mkuu,siku hizi si ajabu kumkuta mwanamke anaamka na kushinda mchana kutwa bila kuoga na akipewa kaofa basi hukimbilia kwenye kioo na kujiremba huku pafyumu ikichukua nafasi na kutoka,kuna mmoja nilikutana nae alikuwa ana pafyumu ya kinywani yaani ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom