Altezza nayo gari?
These boys in here like to brag about their sexual prowess and end up sounding pathetic.Maana yake hukummudu kama ulivyofikiria,
.
Na wewe tafuta mnyonge wako umtombee na ufanye mapinduzi. Maisha ndivyo yalivyo.
Betrayal never comes from enemies but from loved one.
[/B][/COLOR]
Sasa unalia lia nini hapa? Kama bint ulimegewa enzi hizo ulipokuwa kapuku.
Kama ilikuuma sana nawe megea wanyonge zaidi yako,kama unataka kujua sababu tu kamuulize aliyekuwa demu wako ndio anajua kwa nini alikumwaga
asubiri wakati kuna ambaye anayo tayari tafuta mdhaifu na we kula tu.....mjini mapenzi pesa na si kuvumiliana
Afadhali ya bajaji yangu, sio?
Altezza ni nn? We huna hata baiskeli unaulza ulza tuu,,google hivi is altezza a car? Utajibiwa
Na wewe tafuta mnyonge wako umtombee na ufanye mapinduzi. Maisha ndivyo yalivyo.
Betrayal never comes from enemies but from loved one.
hivi kumvua demu chupi ni big dill... kwani wakati unanivua na me sina kuvua yako ngoma drooo
^^
Wenyewe wanasema mwanaume pesa, ndevu hata mbuzi anazo!
Waulize @Husnyo Heaven on Earth miss chagga lara 1 watakueleza vizuri
^^
Inategemea na mashauzi ya mtu.
Kadri unavyo jishaua na kichupi ndio inavyokua big deal.
Demu akiwa kawaida mbona na sisi tunachukulia kawaida.
Some tyms demu akijishaua sana hadi hiyo chupi yenyewe unaiiba ili aondoke bila chupi..
naona mnampa jamaa ufunguo wa mauti vipi kawakosea nini?
ukishaiba chupi unapeleka wapi?