cheeter
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 475
- 155
Wakuu,mimi ni kjna mwenye umri wa miaka 28,nilitokea kumpenda sana msichana wakati nikiwa chuo,udsm. Mapenzi yetu yalikua matamu mno,na ukweli alikua mtam,yanii movable in any style,halafu alikua hachoki...nilimmudu sana sababu pia na mimi fundi.ila ghafla tu,kuna siku nilimpigia simu mida ya jioni,nikitaka kuonana naye akanieleza haiwezekani sababu yupo maeneo ya saloon..kwa bahati mbaya nilipenda kujiridhisha kufika lile eneo alioniambia ili nimwone tuu..wakati huo sina usafiri,kutembea kwangu na mvua ilikua inapga kdogo...katika,kukwekapa madimbwi,madimbwi nikaiona prado tx hizi new model inateleza taratiibu na demu wangu akiwa kama amepagawa alivyoniona..nilibaki nimepigwa butwaa,nilijaribu kumweleza mpita njia kua demu wangu yupo kwenye prado,mimi sina gari nishatombewa...wakuu,naombeni mnisaidie tatizo huwa haswa nn?mbona hawa mademu zetu huwa hawana uvumilivu? Cheki ssa,angeweza kusubiri mi saivi na alteza si angekula bata...