Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,275
Tunafanana kwa 99%We acha ushamba
Mapenzi Yana uma ,that's why umeandika haraka haraka
Umepigwa za uso..ngoja nkupe Siri
1.tafuta hela
2.usishoboke Kwa pis ovyo ovyo
3.kua busy na life yako
Acha ujuaji basi kaka. Unashauriwa kwa wema tu, nawe unaleta ujuaji.Mbona hata hao wenyde0hela wanateseka
Pole mkuu ndio ukubwa huo😂😂😂Habarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.
Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!
Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.
Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.
Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Wewe mwanamke mko kwenye mahusiano alaf anazaa na jamaa mwngne na bdo unaendelea nae,,iv hyo n akili au topeMtie moyo kidogo kha
Wengi wanaoweza kuvumilia na kupotezea maumivu kwenye mahusiano walishawahi kuumia kabla wakahangaika wee sahiz huwaambii kituwakisikia mtu anaumia wanauliza why lkn awali waliumia hivhivo
Wewe mwanamke mko kwenye mahusiano alaf anazaa na jamaa mwngne na bdo unaendelea nae,,iv hyo n akili au top
Ili umshauri mtu ni muhimu sana kujua kama mtu huyo ni kijana, mtoto ama mzee, ushauri unatofautiana kulingana na umri wa mtu anaepewa ushauri, hata kama ni kuhusu jambo moja.Kwann umemuuliza ivo
Yes, of courseIli umshauri mtu ni muhimu sana kujua kama mtu huyo ni kijana, mtoto ama mzee, ushauri unatofautiana kulingana na umri wa mtu anaepewa ushauri, hata kama ni kuhusu jambo moja.
You cant teach an old dog new tricks? Remember?
Very good, to yeye!Yes, of course
Bro, Piga moyo konde, jikeep busy tyu na life,,,,Habarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.
Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!
Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.
Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.
Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Mapenzi yamekushinda achana nayo, kwa sasa epuka kushika vitu vizito, vyenye ncha kali na kamba usije ukajidhuru.Habarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.
Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!
Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.
Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.
Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
U a wlcmVery good, to yeye!
Love u sweet!U a wlcm