Mapenzi kwangu yamenikataa

Uko na msichana/ mwanamke kwenye mahusiano af anaku cheat mpaka anabeba mimba bila woga ila kuonyesha jinsi gan wewe ulivyo kiazi kibovu, bado ukaendelea naye na mtoto ukahudumia!!!!..

Braza wewe ni Mjinga..
Heb jiambie kimoyomoyo "mimi ni fala"

Kwakifupi mapenz hayajakushinda ila umejiendekeza kutotumia akili.
Sawa mapenz yanauma ila hapa umejiumiza mwenyewe.

Piga chini huyo LUKUPI a.k.a chuma ulete
 
Another man is down! Alikuwa anafikiria kike kike + matumizi makubwa ya hisia kuliko akili.
 
Sikuelewi
 
Mrudishie vitu ulivyompokonya.
 
Mbona nyie mnazaa nje ya mahusiano yenu na bado tunaendelea na mahusiano hatuwaachi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…