Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,317
- 108,373
ahaaa mi nliona sura kama ngeni hivi kumbe mwafahamiana Inshallah...
naam maalim tulijuana hapa hapa baada ya kutoa msaada fulani kwake ila jukwaa jingine huko...
ahaaa mi nliona sura kama ngeni hivi kumbe mwafahamiana Inshallah...
utaepuka hayo...lakini kama ni mwanaume ujue unajitafutia uhanithi...baada ya muda kifanyio chawa mdebwedo kama chuzi la mlenda
naam maalim tulijuana hapa hapa baada ya kutoa msaada fulani kwake ila jukwaa jingine huko...
aaahh shem acha kutisha watu bana. ila ni salama kwa wapenzi ambao wapo mbali mbali.
nakueleza kweli shem, kumbuka mwanaume itambidi ajichue na athari mojawapo ya kujichua ni kuifanya misuli ya kifanyip kulegea...hivyo kifanyio kinakua kama manati vile kila kikinyanyuliwa kinarudi chini chenyewe...
touberrr!!! haya tulale shemeg, huu mwezi mwenzio stakiwi kujadili mavitu magumu. lol
pouwa ngoja nshushe net...
Mmhh yani bado uko single my kaka?