Mapenzi kitu kibaya sana

Mapenzi kitu kibaya sana

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Jaman mi ninachohitaji ni ushauri nipo katika hali mbaya kuna mwanamke nampenda sana lakin kasikia kua nina dem mwingine kitu ambacho sio cha kweli kisa tu nilipiga nae picha basi rafiki zake wakamwambia mi nilisex nae adi tukapiga picha nimejaribu kuongea nae lakin hanielew nimeagizia rafik zang lakin wap nampigia cm saiz hapokei wala kujib sms imefikia mda sasa nimekata tamaa lakin nashindwa kumtoa moyon ata sijui nifanyaje anitoke nimsahau kabisaaa mana nimetokea sasa kuchukia jinsi anavonifanyia naomben mawaidha yenu wakuu mapenzi mabaya asee nimeamin naombeni ushauri nifanyaje
 
Acha kulia lia kisa mapenzi mtoto wa kiume... Huo nao ni upopoma.

Mwaache aendee.
 
Jaman mi ninachohitaji ni ushauri nipo katika hali mbaya kuna mwanamke nampenda sana lakin kasikia kua nina dem mwingine kitu ambacho sio cha kweli kisa tu nilipiga nae picha basi rafiki zake wakamwambia mi nilisex nae adi tukapiga picha nimejaribu kuongea nae lakin hanielew nimeagizia rafik zang lakin wap nampigia cm saiz hapokei wala kujib sms imefikia mda sasa nimekata tamaa lakin nashindwa kumtoa moyon ata sijui nifanyaje anitoke nimsahau kabisaaa mana nimetokea sasa kuchukia jinsi anavonifanyia naomben mawaidha yenu wakuu mapenzi mabaya asee nimeamin naombeni ushauri nifanyaje
Mkuu mapenzi siyo mabaya walimwengu ndiyo wabaya
 
Tuma muamala afu mpigie uone respond yake....mrejesho muhimu
 
nimejaribu kuongea nae lakin hanielew nimeagizia rafik zang lakin wap nampigia cm saiz hapokei wala kujib sms

Hao unaoagiza ndio ukute wanakula demu wako, acha uzembe kutuma watu mapema hvo

Acha kulia lia na mapenzi, mkaushie hata siku mbili (akirudi endelea nae, akikausha na yeye achana nae)
Kadri unavojisogeza kwa demu, ndio kadri anazidi kuwa mbali na wewe
 
Maisha ni mazuri kadri unavyokua kua, hapo tatizo sio mwanamke ila ufahamu.
 
Back
Top Bottom