Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
- Thread starter
- #21
Duuh hapo inabidi ujichunguze kwanza! Mwambie akwambie tatizo ni nini kwani inavyo elekea haitapita mwezi ata kwambia msitishe mapenzi bila wewe kujua sababu. Jaribu kumuuliza ulipo kosea ili ujirekebishe!
nimejaribu kumbembeleza aniambie kama kuna tatizo lakini bado anadai hamna tatizo.