Mapenzi Jamani??

Naujua saaana mnato lakini siuzimikii hata kidogo........napenda pwapwapwa, tena nikuibie siri nimepata kigori cha Kingoni kishambashamba hivi na nimekiambia kitafute namna ya kutanua njia..mambo ya kubanana ya kazi gani!!

Mkuu, tayari nimekugongea ''like'' umenena kitu cha maana. sijajua huo mnato unaoongelewa hapa una faida gani zaidi ya kutaka kuchubuana rungu tu. Kila mwanaume nadhani ana preference zake inategemea na yeye maumbile yake yakoje, nadhani K ikiwa na ukubwa standard bhana ndo raha na tena ikiwezekana ni afadhali tundu liwe kubwa kuliko saizi ya ndege ili ndege apate nafasi ya kuruka ruka na kugusa kila kona ya tundu. Wenye vibamia ndo wanaoshobokea K saizi ya chupa..............Kwa wale wadada wanaotaka K zao zionekane ndogo a.k.a mnato nawashauri basi wazifunge na rubber band au waende kwa fundi nguo wazishone.
 
wa jf mna mambo.wamasai na wao wana madawa sio huwa yana ukweli au ni fake?kwa kweli sijawahi kujaribu,na wala sithubutu,k yangu naipenda kama ilivyo

Utaipendaje? yak inapendwa na mwenzako na wewe unapenda yake
 
Kaazi kweli kweli..Yote hii ni kukamatana katika mapenzi.
Mwisho ni kujiaribu maumbile tu.

bwanawee, yani mtu akikaa 'kale kasmell kakikupitia,lazima uwekewe oxygen upumue vizuri
 

Halafu huwa nawashangaa sana hata mimi idadi kubwa ya marafiki, jamaa ndugu niliowahi kuzungumza nao kuhusu hili woote wanasema wanapenda "natural colour" na pia wako wengi si haba wanapenda maji ya kunde au weusi. Na hiyo iwe kijiweni, kazini au kwenye daladala.

Lakini nashangaa bado wako wanawake wasiojua taste ya wanaume........Mimi nahisi wanajikoroga kuwakoga wanawake wenzao
 

unaona kwanini nakumisi humu enh?mi haya ya kikemia si unajua mi nimngwini kwa hiyo nabaki kusme sharbu ni kimiminika sijui ungaunga,umekuja mwenyewe umeshabhaeleza kisayansi kabisa!please usiwe unatuacha muda mrefu hivi bana!
 
blessed is he/she who understands the causes of things. sasa huyo kagundua kuwa wanaume wanapenda mnato wa ukweli so anatoa service itakayo wasaidia watu kuwafanya waume zao watlie
 

haki yamungu hii dunia anamahangaiko, hivi binadamu tumefikia hapa
 
Mhhhh shabu inafanya iwe mnato lakini baada ya mda ikulu inatepweta na ukizowea sana ndio ukijisahau kuvaa chupi
ile kitu inaweza inalia kama firimbi ya refaa mpirani.....
ha ha ha ha ha ha ha ha teh teh teh teh teh teh, mi siwawezi na hizo sharbu zenu
 
haya sasa ni uwanja wazoefuuu wajimwage
 
Sizani kama ni lazima tuende mbali kote hivo jamani,mambo mengine yataishia kutuua,wanawake tujiamini na kama sio riziki basi sio wako huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…