Mapenzi Jamani Mapenzi.. uuuuwiii....

Mapenzi Jamani Mapenzi.. uuuuwiii....

Bwana mdogo we ndo unalemba. Go to the next level, tii haja yake ya ndoa na isnt necessary ukaoa kwa matarumbeta. Anayajua maisha yako vzr hata kataa kuolewa na wewe.
Nxt time usiweke uchumba kwa muda mrefu, mi nilikaa miaka8 kilichotokea ni majanga never trust em @ all!

Sawa, so namuoa ili tufanye mapenzi? Is this really a Good reason for Marriage? Napia anataka harusi kubwa, na mbwembwe kibao, mimi siziwezi.

Huko nakoelekea sintoa kabisa, maana nikitizama namna nilivyojitoa kwake for all these years, najiona mjinga.

Kuna muda nalia, Najilaumu kwann hata nilitokea kumpenda yeye tuu. Mbona wanawake ni wengi? Lakini akili yangu iko kwake tuu?
 
Samaki wapo wengi baharini wa aina tofauti. Mbona unakomaa na perege tuu wakati kuna kambale baharini. Soma alama za nyakati then chapa mwendo
 
wengine tunatafuta wanawake wenye msimamo kama huo....wewe badala ya kufikiri kuanza maandalizi ya kuoa unalalama tu...huyo ndiye mke haswaaaa....dada kaza uzi.....hakuna kuachilia hadi kieleweke.....na kama wadada wote wangekuwa na msimamo kama wa huyo mdada nadhani wote wangeshaolewa...usiogope ugumu wa maisha..wenzio wanaoa hawana kazi...wewe una kazi..tena na yeye ana kazi...alafu bado unazubaaa....tu....unajua huyo mwanamke keshaona hauna nia ya kumuoa bali unataka kumchezea tu alafu umbwage...wenzio watamchukua shauri yako....

kweli msiba usikie kwa Jirani, sio kwako. Its easy for to say that all, ila kama ungepitia maisha niloishi nae, wala usinge andika hivyo, but thanks for the advice.

Nimehisikia relieved sana kulizungumza, I believe am close to the solution.

Ikitikea kweli nikamuoa yeye, nitawaaliko wote mlonipa ushauri huu.

Na la mchepuko naliwaza pia.
 
Mpaka kufikia hatua nimeanika la moyoni jamvini ujue yamefika shingoni, what i have realise ni kama naogopa nikihama ntakuwa nimepoteza muda mwingi sana kwake, Lakini pia, Huyu binti ni bikra, labda kweli anaogopa.

Nawaza miaka yote namsubiri, halafu nimuache, atokee mwingine avunje glass ambayo mm niliishia kuishika tuu?

She Look honest, Friendly but mpaka Leo hanipi mchezo, kuchepuka natamani lakin si mjuzi sana wa hit n Run, nahisi nitakamatwa tuu.

Nampenda, Lakini anachonifanyia sio sawa, Mapenzi na sabuni, Lotion, kutoboa godoro, Nimechoka. Nikiwaza sana, nahisi kama nachanganyikiwa.

And am serious... INANINYIMA RAHA. Chuo nilikuwa namwandikia Project zake zote, Field report zake nimefanya Mimi. Na zote alifauli kwa kiwango cha A. Lakini Papuchi sipewi, kuna kipindi kuna masomo ambayo mm sikuwa nasoma ila yy, yalikuwa yanamsumbua, Nikaanza kusoma notes ili nimuelekeze, yote kumjali na kumpenda, Papuchi No. Sasa maji yamefika shingoni, Naona nazeeka, Ujana unanipita, ninaempenda she is taking me for Granted.

This is not Fair.
Usikilize moyo wako,jee uko tayari kusubiri zaidi? jee ukotayari kumuona mwenzio anakula baada mda mdogo tuu kumuacha wewe? jee unampenda yeye au unapenda Papuchi tuu?
 
jamani mpka unatia huruma mwee, pole, ila anachokifanya huyo binti ndivyo inavyotakiwa binti kuishi hivyo, haya mambo ya kugawa gawa watu tumeamua tu kuibariki zambi lakini si sawa. Na sitaki kukushauri ukimbilie kumuoa kisa una haraka ya kugegeda hiyo haitakuwa ndoa sababu ukishagegeda hamu ikaisha yatakuwa mengine, ndoa ifanyike wote mkiwa tayari kiroho, kimwili na kimali. Cha msingi jikaze kiume mpaka utakapokuwa tayari kwa maamuzi ya ndoa na pia acha hiyo punyeto inakumaliza na utakuja kulijua hilo baada ya kuanza kugegeda

kweli natia huruma maana hata mimi nikijitizama najionea huruma. Papuchi ktk maisha ya mwanaume inaumuhimu wake, na kuikosa pia Kuna madhara yake, hata nyeto napomaliza hujilaumu sana, kinachoniuma ni majina haya, Mpenzi, my Love, mume wangu, sasa naitwa majina mazuri, huku uume unapinda kwa Punyeroo?
 
mkuu sasa umejuaje kama ni bikra? Ok ila hayo ni kawaida hata mimi yamenitokea na bado yanaendelea ila inahitaji uvumilivu kiasi chake usife moyo

Najua, tuliwahi Lala hotel na huyu binti, alilala na skin jeans, nadhana unaelewa how difficult it is kumvua mdada skin jeans kama hana ushirikiano na ww, Nikaishia kucheza na chuchu, Miezi ikaenda. mwaka ukapita, nikaweza tena mshawishi tukalale hotel, ths time kidogo nikasogea lakini bado sikuweza kuingia... Imefika mahala nimechoka.
 
,,wanaume tumetofautiana sana.........
 
sijawahi kuona mwanaume mpu....uzi kama wewe, hivi wanawake unawajua wewe au unawasikia? cha kufanya hapo tafuta mwanamke mwingine na huyo mfanye work in progress, siku akiingia king ndo utatafakari upya.

Asante kwa tusi na ushauri, nitukane maana nishajitukana mitusi yote. Lakini asante kwa ushauri Wako.
 
pole sana mdaun Noel 2014, nakupa pole pia hongera kwa kuwa mvumilivu

BUT....
unajua effect za nyeto na it seems wewe ni muadhirika wa nyeto kisaikolijia unahitaji ushauri na pia ujitahid uache hiyo tabia kwa maana ukiendelea nayo siku utakapomuoa utashindw kumfikisha na utaona aibu na kutamani kujiua ndani ya ndoa yako

jiulize ndanin ya nafsi yako kwa mfano siku utakaomuoa ukakuta SIYO BIKIRA alikuwa anakudanganya je utaendelea kumpenda na ndoa umefungua??unajua maana ya shake well before use ??

umesema anakuchukulia as granted i believe so ...4 yrs hajaona value yako na hajatambua ya kwamba una future nae???
ndoa sio sherehe kama kweli anakupeda lazima ajali afya yako mwambie mkafunge NDOA without sherehe usikie majibu atakayojibu....ukiona anakataa ooo nataka sherehe kubwa achana nae boss kwa maana hkujali hawezi kukumbia msifanye mapenzi miaka yote

pole sana jitaahid kutafuta njia nzuri ya kutatua hili tatizo cos huenda ni mkwel or ndo unadanganywa all this years

Thanks dia.

Kuhusu ndoa, hataki ya kitoto, anataka sherehe kubwa, lakini najiuliza, naoa ili nipewe papuchi? Na kama Punyeto imeniathiri, vipi nikiishia mlangoni nikamwaga hata sijafika sebuleni? Atanivumilia? Hivi ingekuwa ni mm namwambia asubiri nimuoe ndio nile game, angevumilia kama mm? Angekuwa mwaninifu kama mm?
 
Last edited by a moderator:
Usikilize moyo wako,jee uko tayari kusubiri zaidi? jee ukotayari kumuona mwenzio anakula baada mda mdogo tuu kumuacha wewe? jee unampenda yeye au unapenda Papuchi tuu?

Nishajiuliza sana, kama kumpenda, kweli nampenda, lakini naanza kumchoka sasa, maana simuelewi, nishamweleza, sasa kama Nina matamanio ya mapenzi nifanyeje na yy hataki kunipa Papuchi? Ananiomba niendelee kumvumilia. Nimechokaaaaaa. Aaah.
 
Nishajiuliza sana, kama kumpenda, kweli nampenda, lakini naanza kumchoka sasa, maana simuelewi, nishamweleza, sasa kama Nina matamanio ya mapenzi nifanyeje na yy hataki kunipa Papuchi? Ananiomba niendelee kumvumilia. Nimechokaaaaaa. Aaah.
Anae penda kikweli hachoki kuvumilia,wala habadilishi kauli hata ukumchukia,sasa kama kweli nia yako safi na mapenzi yako ni ya dhati basi vumilia na muombe mugu akunyeshe njia ya kheir na kama huyu msichana ana kheir na wewe akusogeze karibu na kama ana shari basi akuepushie............
 
Lugha yako imekaa kike sana.
Kajifunze kuongea kiume, atakukubali.
Anatafuta mwanaume.
She sees none in you kid.
 
Wenye kisu kikali wanajilia taratiibu bali ww mwenye butu unapewa roles kali.
Endelea kusubir mkuu ila utambue kunakuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Nenda kajitambulishe kwao wakujue na hatimaye kaa chini mweleze kwa hisia namna unavyoumia ili ukague kama mzigo ndio wenyewe usje kuwa feki
 
Lugha yako imekaa kike sana.
Kajifunze kuongea kiume, atakukubali.
Anatafuta mwanaume.
She sees none in you kid.

nieleweshe mkuu, lugha yangu imekaa kikike vipi? Nakosea nini? Matamshi? Au mpangilio wa maneno?
 
Nishajiuliza sana, kama kumpenda, kweli nampenda, lakini naanza kumchoka sasa, maana simuelewi, nishamweleza, sasa kama Nina matamanio ya mapenzi nifanyeje na yy hataki kunipa Papuchi? Ananiomba niendelee kumvumilia. Nimechokaaaaaa. Aaah.
Pole sana inaelekea ulimpenda sana. usisonoeke na nitakayokuambia, bali kama nae angekuwa na upendo sawa angekubali muoane kwa harusi ya uwezo wako. Nina wasiwasi kama anakupenda jinsi unavyompenda. Anza kufikiria kusonga mbele mwambie umefikia wakati wa kuoa unataka kumuoa kwa gharama utakayoafford, kama hataki songa mbele utapata utakaempenda hata zaidi ya huyo. Kama mfuatiliaji wa JF kuna Uzi uliletwa hapa wa Amina nadhani. mara nyingi binadamu tukipenda hudhani baasi ndio wa mwisho, amini nikuambiayo na kama tayari umekwishaanza mchoka unaweza hata usiifurahie ndoa yako. Go on usiogope na jitahidi usahau muda na energy na akili uliyotumia kwake.
 
wengine tunatafuta wanawake wenye msimamo kama huo....wewe badala ya kufikiri kuanza maandalizi ya kuoa unalalama tu...huyo ndiye mke haswaaaa....dada kaza uzi.....hakuna kuachilia hadi kieleweke.....na kama wadada wote wangekuwa na msimamo kama wa huyo mdada nadhani wote wangeshaolewa...usiogope ugumu wa maisha..wenzio wanaoa hawana kazi...wewe una kazi..tena na yeye ana kazi...alafu bado unazubaaa....tu....unajua huyo mwanamke keshaona hauna nia ya kumuoa bali unataka kumchezea tu alafu umbwage...wenzio watamchukua shauri yako....

mwambie na wewe, akae asubiri mpaka ajipange cjui ajenge ghorofa, wenye nia na mke waoe
 
watu wa humu walishagaamini mahusiano ni lazima papuchi, kuna wanaoolewa bikra, swali kama mkaka hawez atafute means zake yeye sio oooh mbuzi gunia, ohhh shake well before use. hata ukimwacha leo huyo mdada atalia sana na atajuta kwa mda alioupoteza kwako akikwambia dhamira yake na ukashindwa kumuelewa, utamsababishia kua mhanga wa kuolewa na yeyote asiyempenda kisa tu we akupendaye umechoka kusubiri, so don be selfish, kaa nae every now n then mdiscus yote hayo, scnario zote, madhara na faida za kuvumilia, kuachana kwa kila mmoja
 
Pole sana inaelekea ulimpenda sana. usisonoeke na nitakayokuambia, bali kama nae angekuwa na upendo sawa angekubali muoane kwa harusi ya uwezo wako. Nina wasiwasi kama anakupenda jinsi unavyompenda. Anza kufikiria kusonga mbele mwambie umefikia wakati wa kuoa unataka kumuoa kwa gharama utakayoafford, kama hataki songa mbele utapata utakaempenda hata zaidi ya huyo. Kama mfuatiliaji wa JF kuna Uzi uliletwa hapa wa Amina nadhani. mara nyingi binadamu tukipenda hudhani baasi ndio wa mwisho, amini nikuambiayo na kama tayari umekwishaanza mchoka unaweza hata usiifurahie ndoa yako. Go on usiogope na jitahidi usahau muda na energy na akili uliyotumia kwake.

Thanks much. Umenena vyema Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom