Mapenzi haya yanatesaje...

pmwak

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
26
Reaction score
3
INAUMA SANA CHEKI HII ,Unamnunulia demu CM mwanaume mwenzako anamnunulia VOCHA !
Huo ni Mgawanyo wa Majukumu. Unamrushia demu love SMS yeye ana foward kwa Mwanaume mwenzako !
Huo ni Mwingiliano wa mtandao. Unamnunulia demu CHUPI , Mwanaume mwenzako ANAMVUA,
Huko ni kusaidiana ktk maisha! Unamwomba demu mfanye mapenz japo kwa dakika chache, mwanaume mwenzako anabembelezwa na demu wakalale mpaka asubuhi.. Yaani daah yaani kumbe wanaume pia tunaonewa pia... Wanajamii msaada plz....

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hahaha dah yani mbona the same applies to women hahah umenichekesha unalalama sana pole kaka mnawatesaga hata wanawake hivyohivyo so its tit for tat haha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Pasipo kuumia, hakuna mapenzi. Mapenzi ya dot.com na digitali ni hatari zaidi kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya inji hii.
 
dnt mind wat others get...pata share yako ondoka kaka....ukiweka matumaini yako kwa mwanamke ambaye sio mama yako basi umekwisha
 
Kumbuka uko kwenye dunia tena duara, so miingiliano ni mingi, by the way hukumkuta bikra. Ulimkuta used nawe use it then achia na wengine waka-use.
 
Mmmh.. Mawazo mengine bwana..! Sio wanawake wote tuko hivyo, usiwaogopeshe wenzio..!
 
Sharing is caring. Tulia usiposaidiwa utafilisika aisee
 

Unaombwa credit, simu anapigiwa mwanaume mwenzio.
 
Ndo hvyooo mo way out
Alaf tucyafkilie sanaaaaa haya
 
Love who loves u and leave who doesn't otherwiz be happy 4 whatever u get.
 
Mbona ni sawa hata kwa wanaume, nyumbani mama anakwopwa mpaka kodi ya meza, ukienda nyumba ndogo unatangaza kuwa huishiwi hata siku moja.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…