Mapenzi haya jamani!

Mapenzi haya jamani!

J I T U

Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
14
Reaction score
13
Leo nimekumbuka moja ya kisa cha miaka tisa nyuma kilichomtokea dogo mtaani baada ya demu wake kukata betri getto kwake. Daah dogo baada ya kuona vile, naye akajitundika.Yaani wote walienda na maji hivhiv ka utani.

Ujumbe:
Vijana tulieni haya mambo siyo kabisa; subirieni ndoa. Dogo alijua kuna noma mbele yake ndio maana akajiua naye ili kila MTU akose.

R.I.P
 
Mbona unaleta habari nusu na misamiati isiyoeleweka we sema kipi kilitokea yakawa hayo hujui tumepoteza masekunde kazaa kufungua Uzi wako halafu tunakuta habari nusu


Nimalizie kusema r.I.p

Sent using Jamii Forums mobile app
 
R.I.P kama unaongelea jamaa aliyeua mkoa unaofata baada ya Pwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom