Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Why I am so lucky? let it exist honey! Mie ntamtret Kaunga friendly kama ile uliyosema hujawah ona wala kusikia sitampa ili uwe the master mom....! ila akitaka kuleta ukorofi ataonja kidogo!mimi sitishiwi nyau, mimi najiamini, mimi ni Erotica Erocious. nimetoka ukoo uliochanganya kila kabila,
mimi nina chembe ya kila kabila hivo cal me haf cast. Kaunga is my sweetest am hers she is mine
we neva seto for less. hivo ngoma droo. nenda na utarudi tu hapa! na ukionja kule siku nyingine utatudi tu kule.
Bishanga tunahitaji maelezo zaidi ili tujue hiyo tofauti........nimeogopa kweliunajua mkuu kuna orgasm na orgasm,si kwa mwanamke tu hata kwa mwanammme.Mkuu we orgasm zako zote zinafanana mzuka wake? si kuna siku una pump tu ili mradi viishe na siku nyingine unakuwa ka mwehu.Mwanamke mzoefu (kama erotica i presume) ata notice the difference.
Erotica.........you guys are just weird ebu jaribu kufuatilia huyu mkaka anataka nini haswa kwako kama naye kafikia hatua ya kufake......kantisha maana kufake kwetu siye kitu cha kawaida kutokana na obvious reasons kwa mkaka......duh!
Why I am so lucky? let it exist honey! Mie ntamtret Kaunga friendly kama ile uliyosema hujawah ona wala kusikia sitampa ili uwe the master mom....! ila akitaka kuleta ukorofi ataonja kidogo!
Sometimes its good to be fake tena inanoga zaidi mkijikuta wote mnafake cause at the end of the day hakuna atakayebaki na majeraha moyoni..
mie sina wivu, unaanza kunipa wasi wasi kama utamani hata kidogo kwa Kaunga.................
hata ukienda hatakumegua, utarudi kama ulivyoenda labda mende staili za ajabu mvunjane. teh teh
Bishanga tunahitaji maelezo zaidi ili tujue hiyo tofauti........nimeogopa kweli
naomba copy ya PM.naku pm. teh teh teh.
Guys guys, we r having fun hapa hatutishiani! Paxman u have to deal with ur emotions; tunaenda kutumiana na kuenjoy. Hakuna kuzamia popote, ila fanya check up ya cholestrol level na ur ticker maana tuna mpango wa kukutumia pamoja of course nawe utatutumia vile vile!
Bishanga yaani nahisi kama maumivu yanajirua upya.....we acha tu........yaani kumbe!.........lakini mara nyingi uwa wanaleta visingizio vya ugonjwa, mara mgongo ooh tumbo na hata stress za ofisini.......sina hata hamulemonade,tuchukulie umeolewa,mme kenda mwanza kikazi for two weeks,kumbe huko mwanza anapuyanga kama hana akili nzuri,siku anarudi Lemonade umejikwatua,msosi wa kweli umeandaa unamsubiria bwana,mwenzio kumbe a day before kurudi kakamuliwa kisawasawa na akirudi wewe kukupa ni wajibu unadhani atafanyaje kama sio ku feki na tena atafeki huku akimu imagine yule wa mwanza ili niniliyu isianguke,kama umemzoea mmeo utajua tu.
Sante......teh teh tehnaku pm. teh teh teh.