elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,743
Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
nikwel bro lakin hatak kuniacha kila cku anadai penz lang mi naogopa nahc atantafutia watu wanipige au tutanatana.
Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
mapenz ni hca sio elim
26 yrs asee
26 yrs!!! I'm older than you but still too young for marriage
aisee kweli umetisha,familia unayo halaf unamfuata wa form four kweliii?