Wale msio faham na msio juwa jinsi bunge linafanya kaz mnaweza kufikiri Mh Makonda ana akili sana lakin nyuma ya pazia mtakubaliana nami amechemka.
Wakuu wa mikoa sio sehemu ya bunge ila nisehem ya serikali kuu.
Kama huyu bwana alitaka kupata support asingeitaji mbwembwe nyingi kuonyesha anafanya nini ila alihitaji kwenda kwa hekima nakuongea na waziri wa sheria amfundishe nakumpa darasa.
Kwa mara nyingine mkuu anataka leta mgogoro w akikatiba kwa kupeleka mapendekezo ambayo kiuhalisia kama Spika angekuwa imara angemwambia arudi nayo Dar sema ndio vile tena...
Ila hata baada yakuyapokea hawatoweza yajadili kuepuka mgongano wa kikatiba. Rais kupitia wazir anaweza kupeleka mapebdekezo kwakuwa ana nafasi ktk bunge japo sio sehem ya bunge.
Niswala la muda ila yafuwatayo yanafurahisha ila ndipo unapojuwa Iq ya mtu kwenye handling ya issue.
Wakuu wa mikoa sio sehemu ya bunge ila nisehem ya serikali kuu.
Kama huyu bwana alitaka kupata support asingeitaji mbwembwe nyingi kuonyesha anafanya nini ila alihitaji kwenda kwa hekima nakuongea na waziri wa sheria amfundishe nakumpa darasa.
Kwa mara nyingine mkuu anataka leta mgogoro w akikatiba kwa kupeleka mapendekezo ambayo kiuhalisia kama Spika angekuwa imara angemwambia arudi nayo Dar sema ndio vile tena...
Ila hata baada yakuyapokea hawatoweza yajadili kuepuka mgongano wa kikatiba. Rais kupitia wazir anaweza kupeleka mapebdekezo kwakuwa ana nafasi ktk bunge japo sio sehem ya bunge.
Niswala la muda ila yafuwatayo yanafurahisha ila ndipo unapojuwa Iq ya mtu kwenye handling ya issue.