MAPENDEKEZO: DR Slaa agombee u Gavana 2015

MAPENDEKEZO: DR Slaa agombee u Gavana 2015

DOMA

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
944
Reaction score
367
Kwa mujibu wa rasimu ya katiba mpya Serikali ya Tanganyika itaongozwa na Gavana je wadau endapo haitabadilika mnaonaje kama Dr akagombea ugavana?
 
Kwa mujibu wa rasimu ya katiba mpya Serikali ya Tanganyika itaongozwa na Gavana je wadau endapo haitabadilika mnaonaje kama Dr akagombea ugavana?


Siyo size yake!!!!! Yeye anatakiwa kuwa Rais wa nchi unajua Watanzania wana hamu sana ya kuwa na Rais wa nchi ambaye ni Presidential material? Tumekaa miaka karibu nane sasa bila kuwa na mtu wa hivyo
 
Hivi dr.slaa ana quality gani ya kuwa raisi??,,,najua sote tunajua zitto is more better than him,,tupunguze umri wa mgombea uraisi mpaka 35,then zitto awe president,,
am proud of you young man ''president zzk'
 
Hivi dr.slaa ana quality gani ya kuwa raisi??,,,najua sote tunajua zitto is more better than him,,tupunguze umri wa mgombea uraisi mpaka 35,then zitto awe president,,
am proud of you young man ''president zzk'

Zitto hana sifa za kuwa president wa nchi hii kwa sasa ukilinganisha na Dr. Slaa mwenye kila sifa za kuwa PRESIDAA.
 
Last edited by a moderator:
Zitto hana sifa za kuwa president wa nchi hii kwa sasa ukilinganisha na Dr. Slaa mwenye kila sifa za kuwa PRESIDAA.
Zitto ni agent wa ccm, hafai na hatakiwi!
 
Last edited by a moderator:
Siyo size yake!!!!! Yeye anatakiwa kuwa Rais wa nchi unajua Watanzania wana hamu sana ya kuwa na Rais wa nchi ambaye ni Presidential material? Tumekaa miaka karibu nane sasa bila kuwa na mtu wa hivyo

Hivi kweli Dr Kanjanja anaweza kuwa Presidential material? U cant be sirias.
 
Back
Top Bottom