1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 451
- 1,792
Hawa wengine nawaona kama wasindikizaji tu ndio maana siandikagi maneno marefu kuwachosha watu.Gemu inaendelea azam kashakufa bao 1, azam sports 2 wanaonyesha.
Heading inaonyesha azam kafungwa 10Hawa wengine nawaona kama wasindikizaji tu ndio maana siandikagi maneno marefu kuwachosha watu.Gemu inaendelea azam kashakufa bao 1, azam sports 2 wanaonyesha.
Nani anadaka? Fei hajaingia kuokoa jahazi?Kipa wa Azam ni mpuuzi sana
Fei wa Kitayose?Nani anadaka? Fei hajaingia kuokoa jahazi?
Hivi mnakamiwa, au huwa ni Prince Dube ndiyo anawazidi mbinu mabeki wenu wakongwe? Mbona sisi Yanga huwa tunajipigia tu hawa wababe wenu!Wasubiri kuikamia Simba ili wapate masifa.
😂😂😂😂Kama ambavyo huwa tunawafunga kwa penalties.Huwa mnakamiwa, au huwa Orince Dube anawazidi tu mbinu? Mbona sisi Yanga huwa tunajipigia tu hawa wababe wenu!
La pili huko mkuu!Hawa wengine nawaona kama wasindikizaji tu ndio maana siandikagi maneno marefu kuwachosha watu.Gemu inaendelea azam kashakufa bao 1, azam sports 2 wanaonyesha.
Wakala wa Kanji wa leo huyuHawa wengine nawaona kama wasindikizaji tu ndio maana siandikagi maneno marefu kuwachosha watu.Gemu inaendelea azam kashakufa bao 1, azam sports 2 wanaonyesha.
Mama yakeLa pili huko mkuu!