Mapato ya Utalii Zanzibar ni ya Muungano?

Mapato ya Utalii Zanzibar ni ya Muungano?

Je mapato yatokanayo na utalii ZNZ yanagawanywa sawa pande zote za Muungano?
Hakuna senti hata moja kutoka Zanzibar kuja Bara, yote ya Zanzibar hubaki Zanzibar, lakini kila pato la Bara huenda kwenye Muungano. Nafikiri ndio Wanzibari mnapopapenda hapo au sivyo?
 
Back
Top Bottom