Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 276
Ndugu wana jamvi,poleni pilikapilika za kutafuta maisha, kwa muda mrefu sasa dunia inashudia mauaji ya kutisha dhidi ya watoto na kina mama kule GAZA, mauaji yanayofanywa Taifa linaloitwa teule la Mungu JEHOVA,mungu ambaye moja ya sifa zake ni kuwa ni mwenye huruma kwa watoto na kina mama, lakini cha kushangaza kuna makundi hapa Duniani yanajifanya yana wajibu wa kulinda na kutetea haki za binadamu , hata wakawa na kauli kali na vitisho dhidi ya serikali mbalimbali Duniani dhidi ya haki hizo mf, haki za ndoa za jinsia moja kuoana,haki za mama na motto, haki za kuishi na nyinginezo.
Sijawahi sikia makundi haya kwa nafasi yao kutoa japo kauli tu ya kulani mauaji yanayofanywa na Ezrael dhidi ya watoto na kina mama Je ina maana watoto wa kipalestina sio watoto?.ama lengo bandiko langu hili ni kupima uzito wa haki na wajibu wa wapalestina kujilinda dhidi ya mateso na madhira yanayofanywa na taifa linalojiita teule la mungu,na zile harakati zinafanywa na wapenzi na wanaharakati wa vyama vya siasa hapa inchini, imekuwa ni desturi kwa watu wasioitakia mema palestina kuwalaumu kwamba kwa nini wanajitoa muhanga na kuwaua Ezrael, au Hamas kwa nini wanatumia maroketi kuwashambulia Waezrael, lakini hawajiulizi kwa nini wafuasi wa CDM au CCM wako tayari kupoteza uhai wao kwa kutetea vyama vyao?.
Kwa maneno mengine kwa mtazmo wa makundi haya kupoteza maisha kwa kutetea maslahi ya vyama vya CDM au CCM ni bora zaidi kuliko Hamas kujilinda na kudai Taifa huru la palestina,iweje wanaokufa ama kupata misukosuko katika vyama vya siasa mf CDM huitwa kamanda na CCM cjui anaitwa nani lakini kwa Hamas anaitwa Gaid? .
karibuni tujadili wadau.
Sijawahi sikia makundi haya kwa nafasi yao kutoa japo kauli tu ya kulani mauaji yanayofanywa na Ezrael dhidi ya watoto na kina mama Je ina maana watoto wa kipalestina sio watoto?.ama lengo bandiko langu hili ni kupima uzito wa haki na wajibu wa wapalestina kujilinda dhidi ya mateso na madhira yanayofanywa na taifa linalojiita teule la mungu,na zile harakati zinafanywa na wapenzi na wanaharakati wa vyama vya siasa hapa inchini, imekuwa ni desturi kwa watu wasioitakia mema palestina kuwalaumu kwamba kwa nini wanajitoa muhanga na kuwaua Ezrael, au Hamas kwa nini wanatumia maroketi kuwashambulia Waezrael, lakini hawajiulizi kwa nini wafuasi wa CDM au CCM wako tayari kupoteza uhai wao kwa kutetea vyama vyao?.
Kwa maneno mengine kwa mtazmo wa makundi haya kupoteza maisha kwa kutetea maslahi ya vyama vya CDM au CCM ni bora zaidi kuliko Hamas kujilinda na kudai Taifa huru la palestina,iweje wanaokufa ama kupata misukosuko katika vyama vya siasa mf CDM huitwa kamanda na CCM cjui anaitwa nani lakini kwa Hamas anaitwa Gaid? .
karibuni tujadili wadau.