Mapambano ya mtoto wa kike hadi kufanikiwa kihalali si kazi ndogo

Miss Champagne

JF-Expert Member
Sep 2, 2020
2,157
6,309
Kuanzia chini kwenda juu si safari rahisi kwa mtoto wa kike, hasa Afrika.

Ni wachache sana wanaofanikiwa bila vikwazo lukuki. Ila kuna wengine ni vikwazo mwanzo mwisho.

Kikwazo kikubwa zaidi ni kutumiwa kimwili ikifuatiwa na unyanyasaji kutoka mfumo dume.

Mfano: Mtoto wa kike anahangaika chuo kusoma awezavyo akakomboe kwao, yanatokea ya kutokea kwenye mitihani na marks kupata haki yake anaombwa rushwa ya ngono ama apotee.

Anahimili yote akimaliza hapo bado maofisini kunamngoja..kupata ajira atoe mwili au akafe njaa uraiani halafu ukute ana familia inamtegemea hadi wadogo zake.

Ukipata kazi bado mfumo dume utamkandamiza, boss atamla aendelee kufanya kazi na kupanda vyeo kinyume na hapo kazi hana
Mama analazimika kulala na boss ili tu aendelee kufanya kazi wanae waishi vizuri.

Anapitia risk nyingi mno ikiwemo magonjwa.

Bintia huna pa kuanzia unaomba msaada kwa mwanaume unaambiwa "njoo nlipo uchukue"

Hiyo kauli nadhani inaeleweka kifuatacho!

Wengine inabidi wajisacrifice, wasaliti wapenzi wao mradi tu watoke kwenye dhiki.

Mwenyezi Mungu atusaidie wanawake wote tunaopitia haya.
 
Hizo tuziite changamoto zinazokwepeka maana tukubali, tukatae wakati mwingine wanawake tunajiweka kwenye mazingira ya kutumika.

Cha msingi tuwe tunaweka juhudi nyingi sana kukuza uwezo wetu kwenye masomo/kazi na kujiendeleza ili kuziba mwanya wa kuwa taken advantage of. I mean japo tunayaona na kuyasikia kila siku mi bado huwa najiuliza how come mimi sijawahi lazimika kujitoa zawadi in exchange for work or good grades??? Mbona watu wangu wa karibu sana nao wameukwepa huo mshale??? Hiyo yote ina maanisha kwamba inawezekana. So, cha msingi ni tujaribu kupunguza kulalamika na kukaza kama wanavyokaza wanaume!!

Bila kusahau kuwalea mabinti na wadogo zetu katika mazingira ambayo yanawaonyesha na kuwaaminisha they are strong!!!Strong enough to do & be whatever they want.
 
Hizo tuziite changamoto zinazokwepeka maana tukubali, tukatae wakati mwingine wanawake tunajiweka kwenye mazingira ya kutumika.

Cha msingi tuwe tunaweka juhudi nyingi sana kukuza uwezo wetu kwenye masomo/kazi na kujiendeleza ila kuziba mwanya wa kuwa taken advantage of. I mean japo tunayaona na kuyasikia kila siku mi bado huwa najiuliza how come mimi sijawahi lazimika kujitoa zawadi in exchange for work or good grades??? Mbona watu wangu wa karibu sana nao wameukwepa huo mshale??? Hiyo yote ina maanisha kwamba inawezekana. So, cha msingi ni tujaribu kupunguza kulalamika na kukaza kama wanavyokaza wanaume!!

Bila kusahau kuwalea mabinti na wadogo zetu katika mazingira ambayo yanawaonyesha kuwaaminisha they are strong!!!Strong enough to do & be whatever they want.
una akili sana wewe mara nyingi wanaoliwa, wanapenda kuliwa
 
Hizo tuziite changamoto zinazokwepeka maana tukubali, tukatae wakati mwingine wanawake tunajiweka kwenye mazingira ya kutumika.

Cha msingi tuwe tunaweka juhudi nyingi sana kukuza uwezo wetu kwenye masomo/kazi na kujiendeleza ila kuziba mwanya wa kuwa taken advantage of. I mean japo tunayaona na kuyasikia kila siku mi bado huwa najiuliza how come mimi sijawahi lazimika kujitoa zawadi in exchange for work or good grades??? Mbona watu wangu wa karibu sana nao wameukwepa huo mshale??? Hiyo yote ina maanisha kwamba inawezekana. So, cha msingi ni tujaribu kupunguza kulalamika na kukaza kama wanavyokaza wanaume!!

Bila kusahau kuwalea mabinti na wadogo zetu katika mazingira ambayo yanawaonyesha kuwaaminisha they are strong!!!Strong enough to do & be whatever they want.
Kabisa mkuu Mh. Raisi akupe wilaya kabisa
Wanawake wengi wanaweka mianya ya kutakwa kimapenzi waziwazi kabisa halafu akitakwa anatafuta huruma.
 
Huu upuuzi wa kusema changamoto za kimaisha ni mfumo dume hebu ifike wakati ukomeshwe......

Sababu naanza kuhisi kuna watu wana ajenda yao nyuma ya hili.

Hivi haya maisha ya sasa na ugumu wake mbona naona kama wanaoteseka zaidi ni watoto wa kiume.....?!

Kwenye ajira au maswala ya kuapply kozi mbali mbali za elimu utasikia "female candidates are highly encouraged to apply"?! Huo ndio mfumo dume au?! Hivi una takwimu za idadi ya watoto wa kike wanaoingia vyuoni ukicompare na watoto wa kiume idadi yao?!

Humo madarasani tunajionea watoto wa kike wakipewa msaada kwa walimu na hata wanafunzi wenzao wa kiume na kuwapa tafu.

Kwenye daladala mwanamke utakuta anapanda na mtoto, wanaume watampisha kabla hata wanawake wenzake hawajafanya hivyo, huo ni mfumo dume au ni mfumo nini?!

Mwanamke anapopigwa, wanaume huwa ndio wa kwanza kumtetea na kumdhibiti mwanaume anaemuonea huyo mwanamke, huw sioni wanawake, huo ndio mfumo dume au?!

Sijaongelea pesa mnazohongwa nyakati hii maisha yakiwa magumu.


Unajua wanawake mtakapoanza kuwa serious na maisha yenu na mkaanza kutumia akili mlizopewa na MUNGU mtaanza kuona mabadiliko makubwa sana na maendeleo katika jamii.

Ila so far mnanidisappoint sana the way mnatumia vibaya sana platforms zenu mnazopewa kuzungumza na kutoa maoni yenu kuhusu maendeleo ya jamii. Mnatumia hizi platforms vibaya sana kulaumu wanaume kwa mambo ambayo hata wao hawajui mnayatoa wapi, mnatumia muda mwingi kujilalamisha na kuongea mambo ambayo unakuta hayajamkuta msemaji bali ni stroy za kupeana huko vyumbani na kadhalika.

Hebu kuweni serious kama baadhi ya wanawake wanaojitambua.....
 
Hivyo ulivyovitaja siyo vikwazo.

Wanawake wanatakiwa wajitambue kutumia akili na nguvu zao kufika kwenye mafanikio.
Wakiamua kutumia mwili kufikia malengo yao, hapo siyo vikwazo ila ni uvivu wa fikra na kupenda rahisi
 
Wanawake kwa kutafuta uruma hamjambo hakuna anayefika kirahisi huko juu hata sisi wanaume muda mwingine lazima urogee ndio ukweee huko juu kuroga si mchezo unaweza kughairii.
Kwa namna ameongea utadhani watoto wa kiume wote wapo kwenye ajira, huko vyuoni huwa wanafaulishwa na hawaonewi kwa namna yoyote.

Na ni as if watoto wa kiume huwa wanaletewa ajira wakiwa vyuoni na kupewa kipaumbele katika ajira......

Tunapoelekea hizi women movements zitaanza kupata upinzani hata kwa wanawake wenzao maana zinakosa uelekeo.....

Badala ya kudai mambo ya msingi wanatumia kulalamika na kuongea mambo ambayo kiuhalisia yanakuta jinsia zote.....

Upumbavu kabisa....
 
Hizo tuziite changamoto zinazokwepeka maana tukubali, tukatae wakati mwingine wanawake tunajiweka kwenye mazingira ya kutumika.

Cha msingi tuwe tunaweka juhudi nyingi sana kukuza uwezo wetu kwenye masomo/kazi na kujiendeleza ila kuziba mwanya wa kuwa taken advantage of. I mean japo tunayaona na kuyasikia kila siku mi bado huwa najiuliza how come mimi sijawahi lazimika kujitoa zawadi in exchange for work or good grades??? Mbona watu wangu wa karibu sana nao wameukwepa huo mshale??? Hiyo yote ina maanisha kwamba inawezekana. So, cha msingi ni tujaribu kupunguza kulalamika na kukaza kama wanavyokaza wanaume!!

Bila kusahau kuwalea mabinti na wadogo zetu katika mazingira ambayo yanawaonyesha kuwaaminisha they are strong!!!Strong enough to do & be whatever they want.
Wengi wao huwa wanapigwa miti kwa kutaka. Na wakishapigwa miti kusha wakanyimwa maksi au wakapewa kidogo ndio hivi wanaanza kupiga porojo....
 
Maisha ni maamuzi

kuna excuses wanawake huwa tunatoa hazina sababu yoyote,
ukitengeneza mazingira ya kuhitajika kingono na itakuwa Hivyo,

ukijiweka in a position ambayo hata mwanaume anafikiria kukuingia na itakuwa Hivyo.

mwanamke usirudishwe nyuma na woga wa kutakwa kimahusiano unapohitaji kupiga hatua,jiweke kwenye mazingira ya kuwa na extra values uwe marketable katika soko La ajira,kazini Fanya kazi wacha kujidekeza na kutafuta huruma kwa Watu wa ngazi za juu,mwishowe unaishia kutumika kingono ili uendelee kuwepo kazini.

Mapambano yapo kwa jinsia zote ninahustle nao naona wanayopitia pia.


#maendeleo hayana Chama
 
yes Mimi nina mfano kuna mpuuzi mmoja aliwahi niwekea visa nikala sup,nikacarry akatuma Ujumbe kwa CR nimpigie simu hili tujadili Hiyo carry or otherwise nitadisco,
nikamjibu CR I would Rather discontinue than f*c* that guy aisee...na nikamwambia next naenda Ku appeal asinichoshe.
mbona nilipita bila kupingwa...

story za chini chini alikula pisi Kali za kutosha kwa kuwatishia sup na carry

my rule I f*ck a man just for lust or love
siyo kutafuta upendeleo wa namna yoyote ile.
Wengi wao huwa wanapigwa miti kwa kutaka. Na wakishapigwa miti kusha wakanyimwa maksi au wakapewa kidogo ndio hivi wanaanza kupiga porojo....
 
Wanawake kwa kutafuta uruma hamjambo hakuna anayefika kirahisi huko juu hata sisi wanaume muda mwingine lazima urogee ndio ukweee huko juu kuroga si mchezo unaweza kughairii.
Hizo tuziite changamoto zinazokwepeka maana tukubali, tukatae wakati mwingine wanawake tunajiweka kwenye mazingira ya kutumika.

Cha msingi tuwe tunaweka juhudi nyingi sana kukuza uwezo wetu kwenye masomo/kazi na kujiendeleza ila kuziba mwanya wa kuwa taken advantage of. I mean japo tunayaona na kuyasikia kila siku mi bado huwa najiuliza how come mimi sijawahi lazimika kujitoa zawadi in exchange for work or good grades??? Mbona watu wangu wa karibu sana nao wameukwepa huo mshale??? Hiyo yote ina maanisha kwamba inawezekana. So, cha msingi ni tujaribu kupunguza kulalamika na kukaza kama wanavyokaza wanaume!!

Bila kusahau kuwalea mabinti na wadogo zetu katika mazingira ambayo yanawaonyesha kuwaaminisha they are strong!!!Strong enough to do & be whatever they want.
Ila wtt wakike bhana muda mwingine wanataka kuliwa wenyewe ,kuna mmoja aliomba nimtafutie kazi ,kwel nikasikia Kuna mahali kuna kazi nikamuunganishaa akafanikiwa baada ya miezi mitatu hv mambo yakaanza kuwa mazuri kwake ,akaanzaa kuniambia nikupe nn km zawadi kwa kunitafutia kz ,nikamwambia wala usijali ww pambana tengeneza maishaa,bac bhanaa akaniambia naona zawadi itakayokufaa kutoka kwangu n kukupa penzi langu coz umenisaidia sanaa ....mmmmmhhh kilichofuataa MUNGU ni mwema
 
yes Mimi nina mfano kuna mpuuzi mmoja aliwahi niwekea visa nikala sup,nikacarry akatuma Ujumbe kwa CR nimpigie simu hili tujadili Hiyo carry or otherwise nitadisco,
nikamjibu CR I would Rather discontinue than f*c* that guy aisee...na nikamwambia next naenda Ku appeal asinichoshe.
mbona nilipita bila kupingwa...

story za chini chini alikula pisi Kali za kutosha kwa kuwatishia sup na carry

my rule I f*ck a man just for lust or love
siyo kutafuta upendeleo wa namna yoyote ile.
Damn girl...... U got balls...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom