Mapambano dhidi ya Ufisadi: Tanzania yazidi kuchechemea

:confused::confused::confused:Kwa kweli kwa sasa na mimi nakubali,, tofauti na enzi zile za viongozi wa nyuma:oops::oops::oops: hongera zetu
 
Kwa mujibu wa Taasisi inayofuatilia na kutafiti juu ya Rushwa duniani Transparency International Tanzania imeweza kuingia Top 100 kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti kuhusu Rushwa.
 
Hizi ni pro-Magu propaganda tu, wala hazina uhalisia maana rushwa imekithiri zaidi kwa mapapa na manyangumi.

Vidagaa huku chini ndio inaonekana hakuna rushwa ila ni changa la macho.
 
Kwa mujibu wa Taasisi inayofuatilia na kutafiti juu ya Rushwa duniani Transparency International Tanzania imeweza kuingia Top 100 kati ya nchi 180 zilizofanyiwa utafiti kuhusu Rushwa.
Leo unauamini utafiti wa mabeberu, kesho wakisema Magufuli anaiendesha Tanzania kidikteta usisite kutujuza.
 
Back
Top Bottom