Mapaja ya black beauty , I have never seen such condition...

Mapaja ya black beauty , I have never seen such condition...

Kwenye somo la uchumi kuna dhana ya 'marginal utility' ambapo inasema kadri kadri unavyokula au kugegeda kitu basi lile burudiko 'utility' ulilolipata mara ya kwanza thamani yake haliwezi kulinganishwa na lile utakalolipata mara ya pili, tatu, nne na kuendelea. Ni kama ulikuwa na kiu kali, glasi ya kwanza ya juisi utakavyo inywa na burudiko lake haliwezi fananishwa na glasi ya pili, tatu na kuendelea. Kadri utakavyoendelea kugegeda kitu kile kile ndivyo lile burudiko litaendelea kupungua na kupungua na mwisho kuwa karaha. Hii ndiyo 'nature' ya binadamu. Na mwingine naye aliyezoea ngozi nyeusi akija pata ngozi nyeupe atakuja kupagawa kama wewe. Ndiyo maana inasemwa ili kuzuia na kupunguza kuchokana inabidi wenza kuwa wabunifu wa kuleta vionjo vipya na vikorombwezo vipya kuboresha mahaba. Maua yanahitaji matunzo ya kila siku kuleta maua mazuri. Siyo kila siku 'sukuma wiki' lazima michepuko itatokea tu.
 
Just as heterosexual people can know they are straight without ever having sex,,,, lesbians too can know they are attracted to women without ever having to sleep with one......Coming out is a process and there is not quick way to figure out if you are indeed a lesbian or not.

it sucks to see u having that kind of thinking........
 
Kiroho safi najua hii ni fikra zangu but zinaweza kuwa tuna share na wewe...

Tangu nimeanza mapenzi , I prefered mostly white girls to others.

Lakini nakumbuka may 2013 nilibahatika kwenda bukoba Ngara.. Kifupi ndani ya wiki 2 nilipata demu kama msomali au mtutsi but yeye aliambia ni mhaya ila sikuwa na imani na hilo.

Nakumbuka nilimchukulia kama wa kawaida tu kwakuwa sijawahi penda mdada mweusi.

Siku ya siku mtoto alikuja getto na kutaka maujanja. Ile kumvua ngua na mkagua na kwa karibu nilishikwa na mtetemo wa ile rangi kuanzia kifuani hadi mguuni yan full attractive .
Mapaja yamejaa rangi ya choleti , yan binti alikuwa mtamu sijawai ona mie.

Mh kwa sasa sitaki mademu weupe mimi.




sijawahi penda mwanamke mweupe tangu nizaliwe:i hate them
 
Back
Top Bottom