Now days kuna varieties kibao za perfume aisee na harufu pia inategemea mtu na mtu
Hajasema anataka kukeshaDada kanunue Misk, dah mimi huwa napakwa misk bana daah
Just like the old days
Habari wanajamvi.Najua wengi wetu ni watumiaji wa manukato.Nisaidieni kujua ni pafyumu au spray gain ya kike inayonukia vizuri ili nikanunue.Si mnajua manukato ni moja ya njia ya kumkonga moyo husband!
mama yu una mambo weyensasa husband yuko shigt ya usiku leo au shost manaake ungetakiwa uwe nae cha pili sasa au umembana konani anyway
MIMI NAPENDA HIYO KITU ILA INANIUMiza nina chris adam ya kike ila ji cheap japo ina haruf nzuri na nyepesi kama unakerwa na harufu kali you can use it
Shosti tunalea,leo watoto wametuganda hawataki kwenda kulala.tunasubiri walale.
Tumia valcontras inauzwa laki nane(800000)ni nzuri.jamaa ataipenda.
loading error.....
Tumia valcontras inauzwa laki nane(800000)ni nzuri.jamaa ataipenda.
Habari wanajamvi.Najua wengi wetu ni watumiaji wa manukato.Nisaidieni kujua ni pafyumu au spray gain ya kike inayonukia vizuri ili nikanunue.Si mnajua manukato ni moja ya njia ya kumkonga moyo husband!