figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Lile kundi la mziki wa boringo lililo jizolea umarufu mkubwa hapa bongo na nje ya nchi la mapacha watatu hatimae limesambaratika baada ya mmoja wao kujitoa.
kundi hilo lilikua linawajuhusu
1.jose mara
2.Halid chokoraa
3.Kalala juniour.
Kwa sasa kalala amejitoa na kuwaacha wengine.
Lakini bado wanasisitiza kwamba band itaendelea kuitwa mapacha watatu.
kumbuka hadi chaz baba alijitoa kwenye hilo kundi kabla.
cha ajabu sasa hivi siwaoni kabisa hapa mzalendo kinyama.
Ni hayo tu. Mia
kundi hilo lilikua linawajuhusu
1.jose mara
2.Halid chokoraa
3.Kalala juniour.
Kwa sasa kalala amejitoa na kuwaacha wengine.
Lakini bado wanasisitiza kwamba band itaendelea kuitwa mapacha watatu.
kumbuka hadi chaz baba alijitoa kwenye hilo kundi kabla.
cha ajabu sasa hivi siwaoni kabisa hapa mzalendo kinyama.
Ni hayo tu. Mia