Maonyesho ya Sabasaba 2017, yawaumbua Mafisadi

Maonyesho ya Sabasaba 2017, yawaumbua Mafisadi

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,976
Kabla ya kufunguliwa kwa maonyesho ya 41 ya sabasaba kwenye viwanja vya Mwl Nyerere, mafisadi na mawakala walikuwa wameshaeneza taarifa kuwa hayo maonyesho yatadoda ,sasa watu leo wamefurika
 
Hata BBC redio wametangaza kuwa watu ni wengi sana na maonesho yanatakiwa kufungwa saa 12 jioni lakini mpaka saa moja na dk 20 usiku bado watu ni wengi sana na wanatangaziwa kutoka kwa kupigiwa filimbi na matangazo ili kufungwa maana muda umekwisha.
 
Hao mafisadi na mawakala ni akina nani, na hizo habari wamesambaza wapi huko unakodai zimesambaa? Huu ndo unaitwaga "umbeya"
 
We itakuwa ndo mara yako ya kwanza kufika sabasaba kwahiyo wala hufahamu miaka ya nyuma ilikuwa vp!!!
Mpaka muda huu watu bado wanatoka uwanjani. Ni wengi sana
 
Kabla ya kufunguliwa kwa maonyesho ya 41 ya sabasaba kwenye viwanja vya Mwl Nyerere, mafisadi na mawakala walikuwa wameshaeneza taarifa kuwa hayo maonyesho yatadoda ,sasa watu leo wamefurika
Kwel kabisa hata mimi nimeenda leo watu walikua wengi sana ila kiingilio ndo kinapanda kila mwaka..
 
Yamedoda bwana watu ni wachache sana! Vizimba kibao kwenye maema viko wazi sana.
 
Kabla ya kufunguliwa kwa maonyesho ya 41 ya sabasaba kwenye viwanja vya Mwl Nyerere, mafisadi na mawakala walikuwa wameshaeneza taarifa kuwa hayo maonyesho yatadoda ,sasa watu leo wamefurika

sawa tumekuelewa sasa ambao sio mafisadi unawasaidiaje
 
Sijawai kukosa saba saba nilienda jumatano ki ukweli mwaka huu yameshuka sana sana hakunajipya la kusisimua kiingilio bado tatizo pia
 
Back
Top Bottom