TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
- Thread starter
- #21
Who? Eheee ehe!tici....maono makali sana naimani atasikia ulichomuotea
Who? Eheee ehe!tici....maono makali sana naimani atasikia ulichomuotea
Yap ya right, Bye!Huna lolote wewe mpuuzi.
Unafikiri wewe ni wa kwanza kuwa "USA citizen" sio? Huo ni ulimbukeni wa hali ya juu.Yap ya right, Bye!
Unafikiri wewe ni wa kwanza kuwa "USA citizen" sio? Huo ni ulimbukeni wa hali ya juu.
Mkuu huyo ni mgonjwa wa akili mpotezeeHivi Nikuulize hasira yako ni nini hasa? Kwani unamjua niliyemwota? Huoni ni uhayawani kumtukana Mtu kisa tu Kasimulia Ndoto? Suppose ningekusimulia ile niliota ya Kijana mmoja akibebwa na Mafisi wawili na kwenda kufukia Mburahati? Utanitukana? Nimekukosea nini? Ikiwa wewe sii mmoja wa hao fisi wawili?