Salaam!
Nimesikia speech ya Leo ya Askofu Gwajima, nimeona
1. Uongozi,
2. Maono.
3. UWEZO WA kuunganisha makundi yote na uongozi thabiti.
4.Weledi wa Hali ya juu.
5. Uthubutu.
6. Uzalendo na upendo wa Hali ya juu kwa nchi.
Na kwa kuwa ameshauri reforms zifanyike ndani ya chama na serikali kuruhusu pia CDM iingie kwenye uchaguzi,
Mtu sahihi wa kuingia ulingoni kupambana na Tundu Antipas Lisu na kushinda tokea chama Cha majani mabichi, ni Yeye pekee Josephat Gwajima,
Tafadhali tujisahihishe before it is too late.
Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿
Nawasilisha 🙏
Nimesikia speech ya Leo ya Askofu Gwajima, nimeona
1. Uongozi,
2. Maono.
3. UWEZO WA kuunganisha makundi yote na uongozi thabiti.
4.Weledi wa Hali ya juu.
5. Uthubutu.
6. Uzalendo na upendo wa Hali ya juu kwa nchi.
Na kwa kuwa ameshauri reforms zifanyike ndani ya chama na serikali kuruhusu pia CDM iingie kwenye uchaguzi,
Mtu sahihi wa kuingia ulingoni kupambana na Tundu Antipas Lisu na kushinda tokea chama Cha majani mabichi, ni Yeye pekee Josephat Gwajima,
Tafadhali tujisahihishe before it is too late.
Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿
Nawasilisha 🙏