Huyo mwanamke hajamkubali jamaa 100%, kuna doubts fulani hapo, wanawake bwana kwenye situation kama hizo huwa hawasemi ukweli. Kuna dada mmoja nafanya nae kazi alikuwa na mwanaume ambae ametimia kila idara upande wa majamboz tu huyo dada alikuwa anasema hamfikishi, ila kazi nzuri pesa matunzo alikuwa akiyapata vizuri, jamaa alikuwa tayari kumuoa wakati wowote ulee demu akikubali, lkn demu kumbe ana jamaa yake ni mwanafuzi alikuwa anasoma UD yeye ndo kampenda yule jamaa balaa anasema fimbo yake si mchezo, demu alikataa kuolewa na yule jamaa, yule jamaa wa UD akamaliza pale akaenda nje kusoma akarudi demu bd alikataa kuolewa na jamaa na mpaka sasa ni wachumba. na yule mwanafunzi wa UD na yeye keshapata kazi so in near future watafunga ndoa. Kuna vitu huyo jamaa hamridhishi huyo mwanamke. ndo maana kuna msemo unasema mwanamke akisema A na maanisha B. anaposema anataka mpaka asome inawezekana kuna mtu anasubiriwa hapo siku ya siku jamaa ataambiwa nakwenda labda Dodoma au somewhere else kumbe demu ndo anaenda olewa, jamaa awe makini sana na demu sio mipango mizuri, kipato, na maisha mazuri yanamvutia mwanamke.