minded tips
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 502
- 871
Na minded tips
ngoja niende kwenye mada moja kwa moja
Uchawi (kwa Kiingereza "Witchcraft") ni nguvu zinazotumiwa na watu wenye maarifa maalumu yasiyo ya kisayansi katika jamii nyingi duniani zikiwemo za Afrika, Asia, Ulaya n.k., ingawa kuna tofauti nyingi kulingana na mahali au utamaduni.....wa watu husika kwa kifupi sana nataka kugusia kitu muhim ambacho unatakiwa kukijua.....
KWA WALE MSIOAMINI UWEPO WA UCHAWI MUNGU ANATUSIBITSHIA KUA UCHAWI UPO.
KTK BIBLIA
-kumbukumbu ya torat 18:9-13
-wagalatia 5:19-21
-isaya 8:19
-walawi 20:27
-Ezekiel 13:18
- walawi 9:31
KATIKA QUR AN
-21: 3 qur an
-34:43
-43:30
-74:24
- 17: 47
ushaelewa apo juu???? sasa kama bado unabisha ushawi hakuna bishana a mungu wako na ktk huo mdahalo mm simo




JE NI JINSI GANI AU KWA NJIA GANI UTAJUA KUA UGONJWA WAKO UNATOKANA NA UCHAWI AU KULOGWA?
kwa kawaida mungu humjulisha mja wake kua kuna watu wanamloga kwa kupitia ndoto sasa watu wengi shida ni kua hawajui jinsi ya kutfasil ndoto ukweli kila ndoto ina maana yake nakumbuka niliweka post ya tafsil za ndoto na nikagundua kua watu wengi wanafanyiwa mambo ya kushilkiana bila hata wao kujua so kuanzia leo ukiwa unaota ndoto zinazokutisha au kukimbizwa elewa hizo sio dalili nzuri na unatakiwa kuchukua hatua.....
NGOJA NIGUSIE KIDOGO KUHUSU KIFO CHA SAM WA UKWELI MSANII KUTOKA KIWANGWA.
Ni msanii aliyetamba na nyimbo yake inayokwenda kwa jina la sina raha na zamani sana aliwahi kuimba wimbo unaoitwa "hata kwetu wapo" wimbo huu kuna sehem ktk mashairi yake ktk kiitikio unasema
"wapenda ngono na wachawi sio kwenu tu hata kwetu wapo so ukinichukia sishangai peace and love ninajua binadam ndivyo walivyovyo"
na ktk wimbo wake mpya na wa mwisho kabla ya kifo chake ambao ni jana tu nimeusikiliza kwa kweli umenitoa machozi maana alikua anaimba huku analia ktk yale mashiiri yake kuna sehem anasema
" amani ya mungu idumu kwangu mimi idumu kwa wengne na wote pia
nilikua nipo hoi kitandani jamaniiiiiiiiiiiiii
walioniona ukweli hawakuamini
kuna wengne hawakujua nini kinachonisumbua
kuna wengne walivumisha kusema ana ngoma(hapa ndio akawa analia)
kuna wengne mtaani hata marafk hawakuja kuniona
kumbe hawakujuaaaaaaa
hawakujua kuna mazingara na uchawi
binadam moyoni huwezi jua walimwengu hawana sili hawafai "
vipi umeng'amua chochote ??
sam alijua kua kinachomsumbua ni uchawi na nina uhakika kabla ya kua mgonjwa alianza kuota ndoto kwanza ambazo mungu alimpasha habari kua analogwa lakini ndo ivyo tena inawezekana hatua zake kulihusu tatizo kulihusu tatizo zilikua hazina nguvu zaidi ya zile nguvu za uchawi alizonazo mwilini.....mwake
USHAHIDI WA NDOTO KIFO KABLA YA KIFO CHA MUHUSIKA.
ktk shule ya secondari niliyosoma mimi ambayo pia nisingependa kuitaja kwa jina na ni huko bagamoyo rafik yangu ambaye pia ni ndugu tuliotoka shule ya msingi darasa ka kwanza mpaka la 7 tena kijiji kimoja anayeitwa majuto kingaru alikufa kwa kuzama mtoni ktk mto wame ambao huo mto umepita ktk kijiji kilichokua na hiyo shule .. na ni karbu na kwa kina samu wa ukwel(kiwangwa)
majuto kabla ya kifo chake siku kama 7 nyumba alikua akiota ndoto za ajabu sana ila alikua akimwambia mdogo wake ambaye pia alikua anasoma nae ktk hiyo shule anayeitwa siwazuri habari hiz za ndoto siwa alizieleza wazi baada ya mazishi ya kaka yake majuto... kilichotustusha ktk kile kifo ni baada ya maiti kuokolewa masaa machache baada ya majuto kuzma ktk ule mto kua ina damu nyingi Na hakuna jeraha what is this??? wenye akil imeelewa hapa
nitachotaka kusema hapa ni kua KUWENI MAKINI NA NDOTO MNAZOOTA USIKU MKUBWA NA KAMA NDOTO INAKURUDIA RUDIA SEMA KWA UNAOAMINI KUA WANAUWEZO WA KUKUTAFASILIANA.
minded tips
ngoja niende kwenye mada moja kwa moja
Uchawi (kwa Kiingereza "Witchcraft") ni nguvu zinazotumiwa na watu wenye maarifa maalumu yasiyo ya kisayansi katika jamii nyingi duniani zikiwemo za Afrika, Asia, Ulaya n.k., ingawa kuna tofauti nyingi kulingana na mahali au utamaduni.....wa watu husika kwa kifupi sana nataka kugusia kitu muhim ambacho unatakiwa kukijua.....
KWA WALE MSIOAMINI UWEPO WA UCHAWI MUNGU ANATUSIBITSHIA KUA UCHAWI UPO.
KTK BIBLIA
-kumbukumbu ya torat 18:9-13
-wagalatia 5:19-21
-isaya 8:19
-walawi 20:27
-Ezekiel 13:18
- walawi 9:31
KATIKA QUR AN
-21: 3 qur an
-34:43
-43:30
-74:24
- 17: 47
ushaelewa apo juu???? sasa kama bado unabisha ushawi hakuna bishana a mungu wako na ktk huo mdahalo mm simo





JE NI JINSI GANI AU KWA NJIA GANI UTAJUA KUA UGONJWA WAKO UNATOKANA NA UCHAWI AU KULOGWA?
kwa kawaida mungu humjulisha mja wake kua kuna watu wanamloga kwa kupitia ndoto sasa watu wengi shida ni kua hawajui jinsi ya kutfasil ndoto ukweli kila ndoto ina maana yake nakumbuka niliweka post ya tafsil za ndoto na nikagundua kua watu wengi wanafanyiwa mambo ya kushilkiana bila hata wao kujua so kuanzia leo ukiwa unaota ndoto zinazokutisha au kukimbizwa elewa hizo sio dalili nzuri na unatakiwa kuchukua hatua.....
NGOJA NIGUSIE KIDOGO KUHUSU KIFO CHA SAM WA UKWELI MSANII KUTOKA KIWANGWA.
Ni msanii aliyetamba na nyimbo yake inayokwenda kwa jina la sina raha na zamani sana aliwahi kuimba wimbo unaoitwa "hata kwetu wapo" wimbo huu kuna sehem ktk mashairi yake ktk kiitikio unasema
"wapenda ngono na wachawi sio kwenu tu hata kwetu wapo so ukinichukia sishangai peace and love ninajua binadam ndivyo walivyovyo"
na ktk wimbo wake mpya na wa mwisho kabla ya kifo chake ambao ni jana tu nimeusikiliza kwa kweli umenitoa machozi maana alikua anaimba huku analia ktk yale mashiiri yake kuna sehem anasema
" amani ya mungu idumu kwangu mimi idumu kwa wengne na wote pia
nilikua nipo hoi kitandani jamaniiiiiiiiiiiiii
walioniona ukweli hawakuamini
kuna wengne hawakujua nini kinachonisumbua
kuna wengne walivumisha kusema ana ngoma(hapa ndio akawa analia)
kuna wengne mtaani hata marafk hawakuja kuniona
kumbe hawakujuaaaaaaa
hawakujua kuna mazingara na uchawi
binadam moyoni huwezi jua walimwengu hawana sili hawafai "
vipi umeng'amua chochote ??
sam alijua kua kinachomsumbua ni uchawi na nina uhakika kabla ya kua mgonjwa alianza kuota ndoto kwanza ambazo mungu alimpasha habari kua analogwa lakini ndo ivyo tena inawezekana hatua zake kulihusu tatizo kulihusu tatizo zilikua hazina nguvu zaidi ya zile nguvu za uchawi alizonazo mwilini.....mwake
USHAHIDI WA NDOTO KIFO KABLA YA KIFO CHA MUHUSIKA.
ktk shule ya secondari niliyosoma mimi ambayo pia nisingependa kuitaja kwa jina na ni huko bagamoyo rafik yangu ambaye pia ni ndugu tuliotoka shule ya msingi darasa ka kwanza mpaka la 7 tena kijiji kimoja anayeitwa majuto kingaru alikufa kwa kuzama mtoni ktk mto wame ambao huo mto umepita ktk kijiji kilichokua na hiyo shule .. na ni karbu na kwa kina samu wa ukwel(kiwangwa)
majuto kabla ya kifo chake siku kama 7 nyumba alikua akiota ndoto za ajabu sana ila alikua akimwambia mdogo wake ambaye pia alikua anasoma nae ktk hiyo shule anayeitwa siwazuri habari hiz za ndoto siwa alizieleza wazi baada ya mazishi ya kaka yake majuto... kilichotustusha ktk kile kifo ni baada ya maiti kuokolewa masaa machache baada ya majuto kuzma ktk ule mto kua ina damu nyingi Na hakuna jeraha what is this??? wenye akil imeelewa hapa

nitachotaka kusema hapa ni kua KUWENI MAKINI NA NDOTO MNAZOOTA USIKU MKUBWA NA KAMA NDOTO INAKURUDIA RUDIA SEMA KWA UNAOAMINI KUA WANAUWEZO WA KUKUTAFASILIANA.
minded tips