naamini kuna unachotafutaWewe kama unaanguka kwenye kundi la "Baadhi ya wananchi wahuni" basi hili ni saizi yako, linakuhusu siwezi kulifuta hata uje na panga.
Wewe kama unaanguka kwenye kundi la "Baadhi ya wananchi wahuni" basi hili ni saizi yako, linakuhusu siwezi kulifuta hata uje na panga.
Dotto mwanahabari ulijaribu kufuatilia au kujiuliza ni habari zipi haswa ambazo hao TBC walilalamikiwa kuhabarisha kwa kupotosha, je TV nyingine walitoa taarifa za namna gani? Kama wananchi wa Arusha ni wahuni kama unavyotaka tuamini huoni kuwa wangezuia TV zote? Unajua kwanza kuna vituo vya TV na waandishi wangapi waliripoti same taarifa na hawakulalamikiwa?Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema kuwa tabia iliyoanzishwa na baadhi ya wafuasi wa CHADEMA kuwaona kila wasio waunga mkono ni wasaliti haifai na wala haileti picha ya uvumilivu wa kisiasi ambao tungetarajia kuuona ukihubiriwa kwa vitendo na yoyote anajipambanisha na chama au jumuiya makini.
NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kama mwanahabari, wala hakuna mahusiano na itikadi au maslahi ya shirika lolote.
Wewe lazima utakuwa full magamba.
mwanangu yani unadiliki kuniambia hvyo mimi babako,bas bwana kwani hata mamayako huwa ananiambia kuwa sikuhz kupewa vjisent na ccm umeanza zalau kumbe kweli wakati mama yako anamimba yako niliwaikuota unanitukana leo ndoto imekamilika jamani wakuza zaeni mi huyu mtoto kanishinda
Hiyo ni haki kabisa maana inawakilisha hisia zangu kwa watu wenye tabia isiyofuata sheria na kanuni zilizowekwa. Watakuwa ni WAHUNI TU hakuna jina lingine la kuwatosha.
kuweni wavumilivu kama wenzenu wanvyokuwa wavumilivu mnavyotumia vyombo vyenu vya habari kuwachafua,Tatizo lenu nyinyi mmezoea habari za CHADEMA YAUTEKA MJI WA ARUSHA. TBC WAKO SAHIHI KABISADotto mwanahabari ulijaribu kufuatilia au kujiuliza ni habari zipi haswa ambazo hao TBC walilalamikiwa kuhabarisha kwa kupotosha, je TV nyingine walitoa taarifa za namna gani? Kama wananchi wa Arusha ni wahuni kama unavyotaka tuamini huoni kuwa wangezuia TV zote? Unajua kwanza kuna vituo vya TV na waandishi wangapi waliripoti same taarifa na hawakulalamikiwa?
Hivi mfano mdogo, Marine Hassan anapotangaza kwenye TV ya serikali kwamaba mgombea wa chama fulani, au chama fulani hakitaingia madarakani wakati wa uchaguzi wewe ulilionaje hilo kama mwandishi wa habari makini? Mbona hukulalamika?
Acheni uandishi wa bahasha jamani.
mwanangu yani unadiliki kuniambia hvyo mimi babako,bas bwana kwani hata mamayako huwa ananiambia kuwa sikuhz kupewa vjisent na ccm umeanza zalau kumbe kweli wakati mama yako anamimba yako niliwaikuota unanitukana leo ndoto imekamilika jamani wakuza zaeni mi huyu mtoto kanishinda
Pamoja na changamoto zinazoikabili tasnia ya habari nchini bado watanzania wanapaswa kuheshimu na kuthamini huduma ambayo wote tunajua mazingira yalivyo si tu Tanzania lakini bara zima la Afrika linapokuja suala la Uhuru wa vyombo vya habari. Kitendo kilichoripotiwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa, baadhi ya wakazi wa jiji la Arusha ambao kwangu nawaona ni "wakazi wahuni" kujaribu kuwazuia waandishi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufanya kazi yao kwa kigezo kuwa wanatoa taarifa za kupotosha hazina msingi na walipaswa kutafuta njia nyingine ya kuonyesha kwao kutoridhishwa na utendaji wa shirika hilo. Nachelewa kusema....
mkuu neno sahihi ni nachelea na cyo nachelewa kama ulivyoandika.... teh
Hao watu si wajinga,uchaguzi Arumeru mliandika barua kuomba ulinzi, kama mligomewa ya nini kwenda? Muwe na ulinzi wa green guards kote. TBC ni Taarifa na Burudani kwa Ccm
Ungeandika hivi hivi pia kuhusu yanayofanywa na CCM kwa wale wasiowaunga mkono pia tungekuona una busara na akili zinazofanya kazi.
Nyie mnapofanya upumbavu huwa siyo uhuni?
Maoni yako halafu iweje,kumbuka TBC ni TV ya taifa watu wanataka wapate habari bila chenga, kumbuka yaliyomkuta Marin Hassan pale Jangwani, ni sawa na yale yaliyotokea Cairo watu waliamua kutoka Tahrir square kwenda TV ya taifa(ya huko) kupinga yaliyokuwa yanaripotiwa juu ya kumpinga Mubarak, haya hayataishia Arusha