Maoni yangu Binafsi kuhusu Ndugu Polepole

Maoni yangu Binafsi kuhusu Ndugu Polepole

Bro Mbaga Jr .
Mfano niko TZ.
Nanunua modem . Nanunua line 2 barabaran ambazo hazina jina langu Nanunua vocha za kukwangua za kutosha. Najiunga kifurush cha internet (hizi zote nafanyia morogoro mjini).

Nasafiri kwa bus usiku had Arusha. (Nimevaa miwan na kofia na siongei na mtu).

Hapo Nishanunua laptop. Nainstall VPN. Na iamrisha kuwa nikiconnect internet VPN ndio iwake kwanza.
Alaf nikihakikisha imewaka ndio nafungua mitandao yangu ya kijamii upya nikiwa Namanga au Arusha. Kwenye nyumba ambayo ndugu yangu niliyemuamini alienda kuipangisha mwez kabla. Ina fence. Na Nina bastola . Nina chakula cha mwez mzima na zaid..

Unatafuta kadada kadogo kanakuwa kanakaa ndan kukufanyia usaf na kukuhudumia 😁😁😁😁 na unakalipa vizur. Na unahakikisha Hakana smartphone .

Line ya pili ina hela ya dharula.

Alaf sasa ndio natoa siri za Sirikali.

Anyway ni ndoto tu. Mm sio polepole.
Kumuweka huyo dada akuhudumie tyr n kosa kubwa hata kama hana smartphone 😂

Anyway, mm naona hayo yote n ya kawaida sana na bado utakamatika japokuwa itachukua muda mrefu.

Ila hapo kwenye bastola ndo umemaliza kila kitu, wakija tuu unacheza nao za kichwa 😂
 
Vijana wa hovyo nyie. Kwahiyo Mandela alivyorudi SA kuendesha mapambano akiwa ndani alikuwa bwege?
Hamjui lolote. Polepole kajitoa na akikataa kuendesha vita akiwa nje ya nchi. Huo Ndio ushujaa wenyewe
Aliporudi angeenda polisi kuitikia wito, polisi wangemkamata na(likely) kumuweka ndani. Hiyo ingekuwa poa kwake maana polisi wangewajibika kumlinda kwa kuwa yuko chini yao mikono yao. Akiwa ndani, kungekuwa na mashinikizo kibao hata kutoka jumuiya za kimataifa (wanakopenda kukimbilia) ya kupelekwa mahakamani. Mahakamani ndio kungekuwa kutamu zaidi maana huwezi jua kama angefunguka nini zaidi.

Kosa alilofanya sio kurudi nchini, bali kurudi halafu kuwa incognito. Hapo ametoa mwanya kwa maadui watekeleze watakalo na wasijulikane.
 
Kuna jambo la kufikirisha kwenye hii ishu ya polepole tukisema aliamua kurudi nchini afanye alilotaka na matokeo yake akamatwe ili Dunia ijue kinachoendelea nchini utakataa?
 
Mfano ningekuwa mm.
Najiandaa na cash dollar za kutosha.
Naenda kwa gar had tunduma.
Alaf nitafute watu wa kunivusha border kimagendo ili nikae kati ya Malawi (atakuwa na marafik maana alishawah kuwa balozi) au msumbiji.
Napanga Sehem ambao hawanijui wala kujua story za TZ.

Nanunua Laptop na sim mpya na zote naweka vpn na simcard ya kule..

Ndio naanza kuinanga CCM na serikali yake.

Alaf narusha clips zangu za zaman nikiwa Cuba au kwengineko ili kuhadaa wanaonitafuta
huku napiga Spana za Live kwenye mitandao yangu ya kijamii.

Nikitumiwa Link yoyote kwa email au private kwenye mitandao ya jamii sifungui.

Yaan hata hao insta , X ,JF na Youtube hawataona niko location gan.

Ndugu wa karibu nawasiliana nao via google meets. Yaan hata namba yangu mpya simpi mke wala watoto. Wote wanitafute kwa Link ya hiyo.

Watanipata wapi?. Wala hawatajua niko wap.

Kigogo2014 had leo hawamjui ni nani wala yuko wap . Kwa zile siri zilivyokuwa zinavuja bika shaka alikuwa miongoni mwa watu wa juu kimamlaka kwenye hii nchi. Ila alikuwa smart sana.
Kuna kuji changanya mkuu unakumbuka ya dokta hayaland.......

Binafsi haikua afya sana sanaa POLEPOLE kurudi kukaa kwenye nchi yoyote ya third world countries

For years Toka enzi za nyerere wakosoaji wa serikali walikua wanakimbilia uhamishoni abroad mifano ipo mingi yule mzanzibar somebody HANGA aliambiwa akimbie nchini yeye akakataa wote TUNAJUA kilicho mpata pia kwenye ulimwengu wa Giza Kuna makafara ya kumwita mtu aliye mbali likipigwa Hilo kafara lazima likurudishe nyumbani kwenu

Pole pole ange omba asylum
mfano UK,CANADA, USA, UBELGIJI E.T.C

KOSA LA POLE POLE NI NINI? JE KUHOJI NDIO KOSA LAKE...
 
Kuna kuji changanya mkuu unakumbuka ya dokta hayaland.......

Binafsi haikua afya sana sanaa POLEPOLE kurudi kukaa kwenye nchi yoyote ya third world countries

For years Toka enzi za nyerere wakosoaji wa serikali walikua wanakimbilia uhamishoni abroad mifano ipo mingi yule mzanzibar somebody HANGA aliambiwa akimbie nchini yeye akakataa wote TUNAJUA kilicho mpata pia kwenye ulimwengu wa Giza Kuna makafara ya kumwita mtu aliye mbali likipigwa Hilo kafara lazima likurudishe nyumbani kwenu

Pole pole ange omba asylum
mfano UK,CANADA, USA, UBELGIJI E.T.C

KOSA LA POLE POLE NI NINI? JE KUHOJI NDIO KOSA LAKE...

Kipind Sativa alivyokamatwa.
Anasema swal la kwanza kuulizwa ni
"Kwan umefanya kosa gan? Kwanini wakubwa wamesema tukuteke?." Hawa ni wale polis front waliompeleka Osterbay
Na baadae wale waliokuja kumchukua wa pili walimuuliza hili na ndio likawa swal lao kuu muda wote.
"Nani anakutuma kuongelea vibaya serikali. Je ni bon yai au Maranja Masese?"

Kwahiyo ume notive kitu hapo kwann Polepole ametekwa
 
Kuna jambo la kufikirisha kwenye hii ishu ya polepole tukisema aliamua kurudi nchini afanye alilotaka na matokeo yake akamatwe ili Dunia ijue kinachoendelea nchini utakataa?
Sijui mtoa mada ila mimi nakataa. Angetaka hivyo angeenda polisi mwanzo kuitikia wito ambapo Dunia ingejua kuwa jamaa yuko chini yao. Kwa kujificha ameipa shida hata Dunia maana umetoa fursa kwa kila mmoja kukanisha kutoweka kwake. The dude was not smart at all.
 
Kuna jambo la kufikirisha kwenye hii ishu ya polepole tukisema aliamua kurudi nchini afanye alilotaka na matokeo yake akamatwe ili Dunia ijue kinachoendelea nchini utakataa?
Kwahy hv alivyokamatwa dunia imeshajua kinachoendelea nchini?
 
Aliporudi angeenda polisi kuitikia wito, polisi wangemkamata na(likely) kumuweka ndani. Hiyo ingekuwa poa kwake maana polisi wangewajibika kumlinda kwa kuwa yuko chini yao mikono yao. Akiwa ndani, kungekuwa na mashinikizo kibao hata kutoka jumuiya za kimataifa (wanakopenda kukimbilia) ya kupelekwa mahakamani. Mahakamani ndio kungekuwa kutamu zaidi maana huwezi jua kama angefunguka nini zaidi.

Kosa alilofanya sio kurudi nchini, bali kurudi halafu kuwa incognito. Hapo ametoa mwanya kwa maadui watekeleze watakalo na wasijulikane.
Kwahiyo Mandela alivyorudi SA alienda polisi kuitikia wito wao?
Hamjui hata historia ya ukombozi dunia. Kazi kuandika tu upuuzi utafikiri mnajua.

Viongozi wengi wa ANC walikuwa nje ya nchi na walikuwa wanatafutwa. Lakini wa karudi ndani na kuongoza mapambano tokea ndani. Wengi wakakamatwa na polisi na wengine kuuawa.

Watu wakiwa nje mnalaumu. Wakijitoa Muhanga kama Polepole au afsnde Tesha bado mnalaumu.

Ila Polepole alijua madhara ya alichokuwa anafanya na bado aliamua kupambana akiwa ndani TZ. Huo Ndio uzalendo na ushujaa. Wakimuua atakuwa amefia alichokuwa anakiamini.
Mnafikiri mkiwa waoga kama Mungu ndio mtaishi milele?

I stand with Polepole kama Mtanzania mzalendo wa nchi yake.
 
Sijui mtoa mada ila mimi nakataa. Angetaka hivyo angeenda polisi mwanzo kuitikia wito ambapo Dunia ingejua kuwa jamaa yuko chini yao. Kwa kujificha ameipa shida hata Dunia maana umetoa fursa kwa kila mmoja kukanisha kutoweka kwake. The dude was not smart at all.
Umenikumbusha ishu ya yule mwandishi wa habari alie onekana anaingia ubalozini na CCTV CAMERA ila hakuonekana wakati wa kutoka..

POLEPOLE alikua right sema alikosea kukubarii kurudi Huku nchini kwa namna yeyote ile unajua unaweza kwenda police ukapewa sumu ukakaa hata miezi sita ukaugua na kufariki then wakasema ni SHINIKIZO LA DAMU AU HATA MALARIA 🦟
 
Kuna jambo la kufikirisha kwenye hii ishu ya polepole tukisema aliamua kurudi nchini afanye alilotaka na matokeo yake akamatwe ili Dunia ijue kinachoendelea nchini utakataa?

Ni kweli lazima ufikirie kwa namna nyingne.

Ila Kwann ajifiche?.
Wakat mwanzon hakujificha?.

Mwanzon alisema yuko Morogoro. Na baadae akasema atakuja dsm. Ila alivyokuja akajificha na kujitenga.

Kwahiyo hili likafanya nifikirie kuwa lengo la kwanza na hili la pili ni tofauti.
Alibadilisha motives along the way.
 
Siasa siasani, ni wazi maslahi yake yaliguswa.
Ila lilikua jambo zuri kwa mtu ndani ya ccm kupinga mienendo ya wanaccm wenzake.
Hili lilikua la maana zaidi. Uliemuona anatia miiba kwenye njia yako kabla ya wewe kupita ule muda unapita akija kukuambia bwana miiba iko mpaka kule tafadhali pita huku isizidi kukuchoma huezi acha kumsikiliza eti uzidi kukomaa tu.
 
Umenikumbusha ishu ya yule ,,mwandishi wa habari alie onekana anaingia ubalozini na CCTV CAMERA ila hakuonekana wakati wa kutoka..

POLEPOLE alikua right sema alikosea kukubarii kurudi Huku nchini kwa namna yeyote ile unajua unaweza kwenda police ukapewa sumu ukakaa hata miezi sita ukaugua na kufariki then wakasema ni SHINIKIZO LA DAMU AU HATA MALARIA 🦟
Ile ya Jamal Kashoggi,, ina tofauti kwasababu jamaa wamefanya umafia kwenye nchi nyingine so mwisho wa siku kila mmoja anamtupia lawama mwingine. By the way wale wote ni Big power na umeona namna US alivyoshupalia. Bila shaka dinari zilitoka kunyamazisha issue. I can bet nchi changa kama TZ haiwezi kufanya kosa la hivyo ever never.
 
Tatizo lake yeye polepole kufanya yote hao kumbe alikua nchini, yani lilikua kosa, kubwa sana na hatari??
 
Ukweli usemwe.
Kakamatwa kiduanzi sana.

Na hii inanifanya kufikiria kuwa Lengo lake la awali mpaka kupelekea kuachana na Ubalozi lilikuwa lingine na Baadae akapata Lengo lingne na akakosa namna /mipango mizur ya kujilinda.

1. Lengo la kwanza ilikuwa ni kuonyesha Chuki yake ya waziwazi kwa CCM mtandao kwa kutokufuata tamadun yao waliojiwekea ndan ya CCM wa muda na kupishana kwa wale viongozi wakuu.

Alivyoingia Rais Samia. Polepole alikosa ulaji na ujasiri.
Kutoka kuwa katibu wa itikad na uenezi hadi kuwa Mbunge wa kuteuliwa na kisha balozi Malawi.
Bila shaka ilimvuruga sana akili.

Akavumilia kwasababu alikuwa anajua mwaka 2025. Ile tamadun itafuatwa Samia angeondoka na yeye angeweza kurudishwa nchini na kupewa dhamana kubwa (pengine aliahidiwa na Sukuma Gang)labda walishaandaa mtu wao.

Sasa baada ya kuona Samia anaendelea na yeye yuko nje ya mfumo ikabidi atoe la moyoni.
Na ajiuzulu.

Baada ya kutoa aliyonayo. Akaona hajapata mwamko/uungwaji mkono na wana CCM wenye nyadhifa. (Ambao labda walishajipanga akisanue ila wamemsaliti kwa kutokumuunga mkono)

2. Ndio akawa anaonyesha upande mmbaya wa serikali ya CCM . Utekaji. Kuwekwa mahabusu muda mrefu kwa wapinzani, nida kuunganishwa na inec, kashfa za Rostam, kuhoji kifo cha magufuli. na kuunga mkono baadhi ya wanaharakati na wanasiasa wa upinzani akiwemo Lissu.
Kuunga mkono maandamano. NRNE nk

Nadiriki kufikilia kuwa Hili halikuwa lengo la kwanza la Polepole. Na ndio maana alivyoingia kwenye Lengo hili la pili alijikuta hana mbinu thabiti ya kujilinda kwasababu hakujiandaa sana kwenye hili.

Haya ni maoni Yangu.
Mm siasa Siijui na wala siifuatilii.
Ungekuwa wewe, ungeweza kuacha Ubalozi? Watu mnapiga kelele ili muonekane, mteuliwe hata kwenye nafasi ya u DAS. Leo unahoji dhamira ya mtu aliyeamua kuachia Diplomatic Passport ili awasemee wananchi?
Polepole ni mzalendo kweli. Angekuwa mwingine, angeamua kukaa kimya, ale mafao yake na ainjoy maisha ya Ubalozi
 
Ad majorem . Sio rahisi bro.
Polepole aliamua.

Ila aliamua kwa kuwa kulikuwa na maslah makubwa zaid angepata juu ya yale.

Kumbuka lengo lake la kwanza.
Ni kwann Samia.
Ila sio kwanini CCM.
Yeye ni CCM na hajavuliwa uanachama.

Kwahiyo angebariki yote ya CCM ila sio ya CCM ya Samia.

Alivyoona hayuko kwenye Raman ndio akaanza kushambulia CCM mtandao nk.

Kwahiyo Sio mzalendo.
Ni agenda za Kisiasa.
Na huko aliko atakuwa amefinywa sana ataje nan yuko nae.
 
Back
Top Bottom